Kutokomeza Utekaji, mabadiliko yafanyike utumbuzi wa Polisi wakamataji

Kutokomeza Utekaji, mabadiliko yafanyike utumbuzi wa Polisi wakamataji

Kirchhoff

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,735
Reaction score
8,541
Nimeona teknolojia ya mtandao ikitumika kuwatambua mawakili kama wamesajiliwa kutoa huduma ya uwakili.

Nashauri Police wakamataji wote taarifa zao ziwekwe mtandaoni kwa maana ya Force Number, picha, Majina, Kituo anachofanyia kazi na kadhalika.

Hii itasaidia wakija kukamata mtu, watu wa karibu wanapekua Taarifa na kujua mahali mkamatwaji anapopelekwa.

Kauli mbiu ya utii wa wa sheria bila shuruti inatumika vibaya kwa kusababisha watu wadhanie ni kutii kukamatwa na kujua mbeleni sababu za kukamatwa kwa kuogopa kuwa ukikataa utaonekana hujatii sheria.

Wasalaam.
 
Nimeona teknolojia ya mtandao ikitumika kuwatambua mawakili kama wamesajiliwa kutoa huduma ya uwakili.

Nashauri Police wakamataji wote taarifa zao ziwekwe mtandaoni kwa maana ya Force Number, picha, Majina, Kituo anachofanyia kazi na kadhalika.

Hii itasaidia wakija kukamata mtu, watu wa karibu wanapekua Taarifa na kujua mahali mkamatwaji anapopelekwa.

Kauli mbiu ya utii wa wa sheria bila shuruti inatumika vibaya kwa kusababisha watu wadhanie ni kutii kukamatwa na kujua mbeleni sababu za kukamatwa kwa kuogopa kuwa ukikataa utaonekana hujatii sheria.

Wasalaam.
Kuna sheria imetoa kinga kwa vyombo vya ulinzi na usalama kutoshtakiwa.. Shida imeanzia hapo.. Ikiondolewa hii sheria mambo yatabadilika sana
 
Nimeona teknolojia ya mtandao ikitumika kuwatambua mawakili kama wamesajiliwa kutoa huduma ya uwakili.

Nashauri Police wakamataji wote taarifa zao ziwekwe mtandaoni kwa maana ya Force Number, picha, Majina, Kituo anachofanyia kazi na kadhalika.

Hii itasaidia wakija kukamata mtu, watu wa karibu wanapekua Taarifa na kujua mahali mkamatwaji anapopelekwa.

Kauli mbiu ya utii wa wa sheria bila shuruti inatumika vibaya kwa kusababisha watu wadhanie ni kutii kukamatwa na kujua mbeleni sababu za kukamatwa kwa kuogopa kuwa ukikataa utaonekana hujatii sheria.

Wasalaam.

Kwani wanakamata, au wanateka?

Iko kama tunategemea huruma fulani tokea kwa watekaji.

Ukweli mchungu: hapa ndipo mwamba anapoendelea kupiga fyongo, maridhiano yakiwa mfano mwingine.
 
Kuna sheria imetoa kinga kwa vyombo vya ulinzi na usalama kutoshtakiwa.. Shida imeanzia hapo.. Ikiondolewa hii sheria mambo yatabadilika sana
Hiyo sheria inakinga vipi watekaji/wakamataji ambao hawatambuliki? Wangetambulika wangeshtakiwa nje ya cheo. Sasa hawatambuliki.
Naona bado Lile Bus halikuwajibika vizuri kulinda abiria wake kwa kisingozio cha silaha za moto.
 
Wengi wanaocomment humu bado hawajui kama mambo haya yapo kisheria. Tafuteni maboresho ya sheria ya usalama wa taifa Agosti 2023.
 
Nimeona teknolojia ya mtandao ikitumika kuwatambua mawakili kama wamesajiliwa kutoa huduma ya uwakili.

Nashauri Police wakamataji wote taarifa zao ziwekwe mtandaoni kwa maana ya Force Number, picha, Majina, Kituo anachofanyia kazi na kadhalika.

Hii itasaidia wakija kukamata mtu, watu wa karibu wanapekua Taarifa na kujua mahali mkamatwaji anapopelekwa.

Kauli mbiu ya utii wa wa sheria bila shuruti inatumika vibaya kwa kusababisha watu wadhanie ni kutii kukamatwa na kujua mbeleni sababu za kukamatwa kwa kuogopa kuwa ukikataa utaonekana hujatii sheria.

Wasalaam.
mtu akikukamata kwa nguvu na huamini kama ni polisi, jipige picha tuma, ama la, pambana kujitetea kwa namna yeyote. ni polisi jambazi huyo.
 
Back
Top Bottom