Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Wajuzi mnisaidie, huyu mwanamke alitakiwa aingie MP kuanzia tarehe 24/08/2019 lakn mpaka leo hajaingia ila dalili zote anazipata ikiwemo maumivu yale anayoyapataga akiwa period!
Wiki iliyopita alitumia dawa za UTI, je inaweza ikawa ni sababu!??
Wiki iliyopita alitumia dawa za UTI, je inaweza ikawa ni sababu!??