SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Haya ndio maamuzi ya kisiasa dhidi ya chama kinachotawala nchi kwani maamuzi ya kitahalumu yamewekwa kando na kulinda maslai yao kwa kufunika kombe mwanaharahu apite.
Wanafunzi wa udom kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipa ada jana wameambiwa warudi nyumbani waje kufanya mtihani mwenzi wa tisa pindi watakapo kamilisha kulipa ada.
Pia wameamua kufanya ivi kwa dhumuni la kukomoa wanafunzi na pia kama njia ya kuwapa adhabu ili wasigome tena. Pia hakuna majibu ya field yaliyosababisha mgomo ila wanafunzi wanachotakiwa ni kufanya Mitihani na sio vinginevyo.
My take;
Wakati mwanafunzi huyu akiwa sekondari alishindwa kulipa elfu ishirini vipi leo awe na uwezo wa kulipa milioni?
Tanzania ni nchi yetu sote, ujamaa na upendo tulioachiwa na baba wa taifa tufaidi wote ila leo hii tumeanza kutengana kwa matabaka nchi yetu inapoelekea Mungu mwenyewe ndio anajua.
UDOM bomu lingine na limeshaanza kuleta madhara kilichobaki ni kusambaa kwani kujengewa chuo na kupewa mkopo wamekuwa watumwa kwa serikali ya ccm na kuamua kufanya watakavyo dhidi ya wanafunzi.
Nawasilisha
Wanafunzi wa udom kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipa ada jana wameambiwa warudi nyumbani waje kufanya mtihani mwenzi wa tisa pindi watakapo kamilisha kulipa ada.
Pia wameamua kufanya ivi kwa dhumuni la kukomoa wanafunzi na pia kama njia ya kuwapa adhabu ili wasigome tena. Pia hakuna majibu ya field yaliyosababisha mgomo ila wanafunzi wanachotakiwa ni kufanya Mitihani na sio vinginevyo.
My take;
Wakati mwanafunzi huyu akiwa sekondari alishindwa kulipa elfu ishirini vipi leo awe na uwezo wa kulipa milioni?
Tanzania ni nchi yetu sote, ujamaa na upendo tulioachiwa na baba wa taifa tufaidi wote ila leo hii tumeanza kutengana kwa matabaka nchi yetu inapoelekea Mungu mwenyewe ndio anajua.
UDOM bomu lingine na limeshaanza kuleta madhara kilichobaki ni kusambaa kwani kujengewa chuo na kupewa mkopo wamekuwa watumwa kwa serikali ya ccm na kuamua kufanya watakavyo dhidi ya wanafunzi.
Nawasilisha