Wizara ya nishati na Tanesco
Je mnajua kuwa waliojihusisha na ujenzi kutoka makambako mpaka songea hawajalipwa na hiyo kampuni ya KALPATARU YA INDIA?
Na wanaowadhurumu ni watanzania wazawa wametumia pesa zao tena za mikopo the Leo hawalipwi tangia mwaka Jana mwezi wa 4 mpka Leo wanawazungusha watanzania
Je mlipotaka KOMREDI magufuli aje azindue huo mradi wakati watu wanadai hamuoni kama mngeonekana ninyi kama wizara mngemdandanya Raisi Leo hii hii kampuni mnaipatia kazi nyingine huko singida ili waendelee kuwadhurumu watanzania Tanesco na wizara fuatilieni hill kabla hatujaenda mbele kulalamika
Asante
Ni sisi wazawa tulioshiriki ujenzi na tunanasumbuliwa na malipo
Je mnajua kuwa waliojihusisha na ujenzi kutoka makambako mpaka songea hawajalipwa na hiyo kampuni ya KALPATARU YA INDIA?
Na wanaowadhurumu ni watanzania wazawa wametumia pesa zao tena za mikopo the Leo hawalipwi tangia mwaka Jana mwezi wa 4 mpka Leo wanawazungusha watanzania
Je mlipotaka KOMREDI magufuli aje azindue huo mradi wakati watu wanadai hamuoni kama mngeonekana ninyi kama wizara mngemdandanya Raisi Leo hii hii kampuni mnaipatia kazi nyingine huko singida ili waendelee kuwadhurumu watanzania Tanesco na wizara fuatilieni hill kabla hatujaenda mbele kulalamika
Asante
Ni sisi wazawa tulioshiriki ujenzi na tunanasumbuliwa na malipo