Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Wakuu habari,

Hivi hii hali ya baadhi ya siku unakuta kuanzia asubuhi hadi jioni hupati wateja kwenye biashara yako badala yake wanakuja wanaoulizia ulizia tu na kuondoka
πŸ˜€

Hivi hii hali huwa inawakuta na ninyi?

Vipi mnakabiliana vipi na stress za hiyo siku?
 
Nileteeni Gwaajima Nileteeni Gwaajima
 
Inategemeana na aina ya biashara, ila kuna biashara kukosa kabisa mteja ni jambo lisilowezekana..

Ila mwisho wa siku biashara ni stress sana, mimi toka biashara yangu ya hardware ilivyokufa sina hamu kabisa na hizi "physical business"....kifupi siwezi wekeza hela yangu mtaani.
 
Nini kiliua biashara yako? Bora kuajiriwa et?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…