OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Nileteeni Gwaajima Nileteeni GwaajimaMods huu uzi uacheni hapa hapa
Wakuu habari,
Hivi hii hali ya baadhi ya siku unakuta kuanzia asubuhi hadi jioni hupati wateja kwenye biashara yako badala yake wanakuja wanaoulizia ulizia tu na kuondoka
[emoji3]
Hivi hii hali huwa inawakuta naninyi?
Vipi mnakabiliana vipi na stress za hiyo siku?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hawa wanaokejeli inaonekana wameajiliwaNI KAWAIDA MKUU ILA SIKU UNAPOPATA FAIDA KUBWA NDO SIKU YA KUWEKA AKIBA KUFIDIA SIKU ZA MKWAMO KAMA HIZO
Kuna sehem nataka nikupeleke mambo yawe sawaKawaida san hiyo Mkuu. Mi katika week ya siku 6 ninazofungua, kuna sometimes mara 3 mauzo ni sifuri kabisa.
Nini kiliua biashara yako? Bora kuajiriwa et?Inategemeana na aina ya biashara, ila kuna biashara kukosa kabisa mteja ni jambo lisilowezekana..
Ila mwisho wa siku biashara ni stress sana, mimi toka biashara yangu ya hardware ilivyokufa sina hamu kabisa na hizi "physical business"....kifupi siwezi wekeza hela yangu mtaani.
Ukiona mbongo anakuita kwenye fursa, ujue wewe ndio fursa... Ukiona anakuita kwenda kula ujue wewe ndio chakula... πππKuna sehem nataka nikupeleke mambo yawe sawa
Mad Max mimi nataka nikusaidie kwa nia njema tu kwan si kawaida siku 3 mauzo iwe 0Ukiona mbongo anakuita kwenye fursa, ujue wewe ndio fursa... Ukiona anakuita kwenda kula ujue wewe ndio chakula... πππ
Kabisa..mjini watu hawakai kizembenenda kwa wataalam ufunge chuma ulete
usione wenzako wanaanza na Ubani halafu wanaweka na nyongeza