Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
ha ha ha ha ha,kwa nini inakuwa hivyo mkuu?Laiti kama ungeingia ubia kufanya deal lolote la biashara na mbantu, wallah ungekuwa na majibu. Kafaida ni trip ya Kwanza tu, ya pili sound zinaanza, ya tatu mtaji unaanza kuliwa ya nne mmeshakuwa maadui.
Ni kweli mkuu,hasa pesa ikianza kuonekana akili na utu unapotea mwisho wa siku mnaanza kuwekeana visasi.Lakini kwa nini wenzetu weupe wanafanikiwa?Utapeli mwingi kwenye ubia ndio maana wengi hawapendi kuingia katika mfumo huo
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha haChangamoto ipo kwenye kupata Mtu mnayeendana mtazamo. wapo wachache sana.
Sasa balaa ukute mwenzako anaamini mambo ya giza na wewe huyataki.
Kwa nini watu hawapendi kuingia ubia kwenye biashara;unafikiri sababu ni nini?
Kwa mtazamo wangu nafikiri:-
Je,sababu zinaweza kuwa hizo tu?
- Ni kila mmoja kutaka kuonekana mkubwa/boss
- Kuogopa kutapeliana n.k