TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Wa- mbulu na wa-Iraqi wote ni ndugu!
Wakuu kumekuwa na kasumba ya kwamba,kila unapovaa kiatu ni lazima uvae soksi!
Binafsi soksi nilivaa wakati nikiwa shule kwasababu ilikuwa ni lazima kwakuwa ilikuwa ni moja ya sare za shule!
Juzi moja nimeenda mahali fulani nikiwa nimekula suti (Kaunda suti ) ya mikono mirefu halafu chini sikuvaa soksi Bali nilipiga moka yangu safi nikawa nadunda kama kitenesi!,Kwakuwa Nina cheo mahali fulani !,nikawa nasikia maneno kutoka Kwa watu wangu wa karibu ya kwamba,eti wanazungumza kwamba kiongozi asiyevaa soksi ni Muhuni na hapaswi kuaminiwa!
Niliwashangaa sana watu wanaozungumza hivyo kwasababu wao yawezekana ndiyo wakawa na matatizo!
SABABU ZA WATU WENGI KUVAA SOKSI
1.Kama Urembo au utanashati!
2.Kubana vizuri mguu ndani ya kiatu!
Binafsi huwa nilivaa soksi nashindwa Kutembea vizuri kwasababu kiatu kinakuwa kama kinateleza!
Pia nikivaa soksi nakuwa nakosa uhuru wa kujiachia,!
Mwisho,naona kama kuvaa soksi ni Ushamba!
Kama mtaendelea kuniona Muhuni endeleeni kuniona Muhuni but siwezi kuvaa soksi kwasababu zinanikosesha uhuru!
Wakuu kumekuwa na kasumba ya kwamba,kila unapovaa kiatu ni lazima uvae soksi!
Binafsi soksi nilivaa wakati nikiwa shule kwasababu ilikuwa ni lazima kwakuwa ilikuwa ni moja ya sare za shule!
Juzi moja nimeenda mahali fulani nikiwa nimekula suti (Kaunda suti ) ya mikono mirefu halafu chini sikuvaa soksi Bali nilipiga moka yangu safi nikawa nadunda kama kitenesi!,Kwakuwa Nina cheo mahali fulani !,nikawa nasikia maneno kutoka Kwa watu wangu wa karibu ya kwamba,eti wanazungumza kwamba kiongozi asiyevaa soksi ni Muhuni na hapaswi kuaminiwa!
Niliwashangaa sana watu wanaozungumza hivyo kwasababu wao yawezekana ndiyo wakawa na matatizo!
SABABU ZA WATU WENGI KUVAA SOKSI
1.Kama Urembo au utanashati!
2.Kubana vizuri mguu ndani ya kiatu!
Binafsi huwa nilivaa soksi nashindwa Kutembea vizuri kwasababu kiatu kinakuwa kama kinateleza!
Pia nikivaa soksi nakuwa nakosa uhuru wa kujiachia,!
Mwisho,naona kama kuvaa soksi ni Ushamba!
Kama mtaendelea kuniona Muhuni endeleeni kuniona Muhuni but siwezi kuvaa soksi kwasababu zinanikosesha uhuru!