Habari wanajukwaa!?
Kwanza naomba niwaombe radhi kwa kuja na ID mpya ingawa humu mimi si mgemi kwn hadi sasa nina miaka 8 ya uanachama.
Turudi katika mada!
Historia kwa kifupi
Kwa jinsia mimi ni mwanaume wa miaka 35 nina mke na watoto wawili ambapo hadi ss ndoa yetu inaelekea kuanza mwaka wa saba. Hatujawahi kuwa na malumbano wala kugombana na mke wangu, hivyo sina wala yeye hana tatizo lolote ktk mahusiano yetu.
Tukirudi nyuma kdg kiukweli nilikuwa napenda mapenzi sana kufanya na mke wangu japo mara moja (atleast game 2) karibu kila siku kwa miaka zaidi ya minne ambapo ilifikia mke wangu kuniomba mipunguze kasi au nioe mke wa pili kwani kwa dini yetu yaruhusu. (Kwa sisi watu wa Pwani hili la mke kukwambia kuoa sio geni sana). Nilijitahidi kupunguza kwa kujibidiisha na mazoezi na hatimaye ikawa naona kawaida tu kwa wiki mara 3 hadi 5 tunafanya. Hivyo sikuoa.
Kikazi nafanya kazi zinazohusiana na mahesabu! Mwanzoni mwa mwaka huu kuna nafasi nilipandishwa hivyo kupelekea "volume" ya kazi kuongezeka sana. Na ili kufikia target imenibidi kujiongeza hadi kufanya kazi nyumbani usiku katika ya saa 7 hadi 9 usiku (saa kiswahili). Mwanzo nilikuwa napata taabu, lkn kwa sasa nimezoea kiasi ht km sina kazi ikifika muda huu nakuwa macho sina hata chembe ya usingizi. Hili limedumu hadi ss inaweza kuwa imefika zaidi ya miezi 6.
Lkn nimekuja kunote jambo au tabia mpya kabisa kwangu. Yaani sina hamu kabisaaaa kabisaaa ya mapenzi. Sina hata chembe. Na hali hii huu ni mwezi wa nne hv. Mwanzo nilidhani labda naumwa nikafanya check up ya mwili wote sikuwa na tatizo, nikawa nahisi labda mgongo na misuli inauma ndiyo maana sina hamu coz mazoezi nimepunguza sana, hivyo nikaenda sehemu moja hivi ceragem center kupata tiba mazoezi nk lkn wala hata sishtuki. Asubuhi naamka salama na kawaida kabisa "mashine imesimama imara"! Lkn ile hamu ya mapenzi sina.
Ukija upande wa marafiki, ukweli mm sina maana wengi wanakuwa wananiuliza mambo yanayohusisha kazi ss hili linanikera sana kwn najikuta muda wote nawaza au nafanya kujibu maswali yanayohusiana na kazi tu. Kazi ni nzuri na naimudu vema sana na namshukuru Mola inalipa sana lkn inataka muda mwingi sana.
Je hali hii ya kutojisikia hamu ya mapenzi, inaweza kuwa ni ugonjwa gani? Au nimeathirika afya ya akili? Au nini hasa kinasababisha kuwa na hali hii? Naomba msaada wenu plz wataalam!
Kwanza naomba niwaombe radhi kwa kuja na ID mpya ingawa humu mimi si mgemi kwn hadi sasa nina miaka 8 ya uanachama.
Turudi katika mada!
Historia kwa kifupi
Kwa jinsia mimi ni mwanaume wa miaka 35 nina mke na watoto wawili ambapo hadi ss ndoa yetu inaelekea kuanza mwaka wa saba. Hatujawahi kuwa na malumbano wala kugombana na mke wangu, hivyo sina wala yeye hana tatizo lolote ktk mahusiano yetu.
Tukirudi nyuma kdg kiukweli nilikuwa napenda mapenzi sana kufanya na mke wangu japo mara moja (atleast game 2) karibu kila siku kwa miaka zaidi ya minne ambapo ilifikia mke wangu kuniomba mipunguze kasi au nioe mke wa pili kwani kwa dini yetu yaruhusu. (Kwa sisi watu wa Pwani hili la mke kukwambia kuoa sio geni sana). Nilijitahidi kupunguza kwa kujibidiisha na mazoezi na hatimaye ikawa naona kawaida tu kwa wiki mara 3 hadi 5 tunafanya. Hivyo sikuoa.
Kikazi nafanya kazi zinazohusiana na mahesabu! Mwanzoni mwa mwaka huu kuna nafasi nilipandishwa hivyo kupelekea "volume" ya kazi kuongezeka sana. Na ili kufikia target imenibidi kujiongeza hadi kufanya kazi nyumbani usiku katika ya saa 7 hadi 9 usiku (saa kiswahili). Mwanzo nilikuwa napata taabu, lkn kwa sasa nimezoea kiasi ht km sina kazi ikifika muda huu nakuwa macho sina hata chembe ya usingizi. Hili limedumu hadi ss inaweza kuwa imefika zaidi ya miezi 6.
Lkn nimekuja kunote jambo au tabia mpya kabisa kwangu. Yaani sina hamu kabisaaaa kabisaaa ya mapenzi. Sina hata chembe. Na hali hii huu ni mwezi wa nne hv. Mwanzo nilidhani labda naumwa nikafanya check up ya mwili wote sikuwa na tatizo, nikawa nahisi labda mgongo na misuli inauma ndiyo maana sina hamu coz mazoezi nimepunguza sana, hivyo nikaenda sehemu moja hivi ceragem center kupata tiba mazoezi nk lkn wala hata sishtuki. Asubuhi naamka salama na kawaida kabisa "mashine imesimama imara"! Lkn ile hamu ya mapenzi sina.
Ukija upande wa marafiki, ukweli mm sina maana wengi wanakuwa wananiuliza mambo yanayohusisha kazi ss hili linanikera sana kwn najikuta muda wote nawaza au nafanya kujibu maswali yanayohusiana na kazi tu. Kazi ni nzuri na naimudu vema sana na namshukuru Mola inalipa sana lkn inataka muda mwingi sana.
Je hali hii ya kutojisikia hamu ya mapenzi, inaweza kuwa ni ugonjwa gani? Au nimeathirika afya ya akili? Au nini hasa kinasababisha kuwa na hali hii? Naomba msaada wenu plz wataalam!