Naomba ushaur wenu jaman mm ninaujauzito lkn ninamatatizo ya kutokwa damu uken cyo nying sana pia haitok mara kwa mara pia ujauzito wangu ni mkubwa tu na ni cku za matarajio na damu hzo zimeanza ndan ya wik hii tu je ni hali ya kawaida au ni tatizo naomba msaada wenu madactar wa jf
Usiwe na wasi wasi mama kijacho, iyo wanaita damu ya kupunguzia, lakin km ni nyeus kidogo mtihani. Itatoka inategemea than itakata wenyewe, ukipata mtoto wakike nambie niwe mkwe wako.
Usiwe na wasi wasi mama kijacho, iyo wanaita damu ya kupunguzia, lakin km ni nyeus kidogo mtihani. Itatoka inategemea than itakata wenyewe, ukipata mtoto wakike nambie niwe mkwe wako.