Kutokwa na damu nyingi

naisweet

Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
47
Reaction score
9
habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki nisaidien kwa anaejua
 
Pole sn jaribu kutafuta gyno watakusaidia dawa mtafute dr kapona atakusaidia !

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Daah
Pole sana mpendwa
Tafuta wataalamu watakusaidia na tatizo litakwisha
 
Pole sana mdada nenda hopsital ufanye uchunguzi wa kina naamin utapona
 
kila.nnapoenda siambiwi lolote ndio nimeamua kulileta humu mnisaidie nimeenda kwa.dcrt kapona tatzo langu ni hilo hilo naambiwa.mayai hayapevuki nimepewa dawa zinaitwa clomid nakula nkiingia kwny siku zngu nishatumia miez miwil huu wa tatu nabahatisha tena sina raha ikinijia piriod nakosa furaha nataman hata kufa
 
dawa zenyewe ni hzo
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1367574307017.jpg
    24.8 KB · Views: 126
habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki nisaidien kwa anaejua
Pole sana. Mtangulize bwana mungu katika sala zako na mipango ya maisha yako. Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa mungu linawezekana.
 
asante hilo.ndilo.la kwanza kumuomba Mungu sitochoka
 
Pole sana nishazitumia hizo dawa najua kasheshe yake..Pole sana mie sikubahatisha nilitumia for 6 months. Jaribu nawe mwenzangu Mungu wetu ni mwema sana atakusaidia..maana kuna wengine wakinywa mwezi 1 tu wanapata mimba. Mie bado nahangahika miaka sasa sijakata tamaa.
 
Pole sana. Mtangulize bwana mungu katika sala zako na mipango ya maisha yako. Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa mungu linawezekana.

Hilo la mimba inaweza ww ukawa hauna tatizo kabisa!Je mwenzio(mmeo)yy kapima kama ana uwezo wa kupiga mashuti?

Nipo tayari kwa ushauri uki ni PM lkn!
 
dah powle sana naujua uchungu wakutaman mtoto mana sisi wanawake tuna wivu sana tunaona waume zetu wataowa tu badae sasa hzo dawa ww ulikua ukila grm ngap mm nakula mia nshakula.miwil na huu watatu tena grm hyo hyo ww uliongeza dose
 
mume wangu hajapima alitaka kupima.bahati mbaya alisafir kikaz lkn.naona.kma mm ndio mwenye tatzo mana ndio limegundulika lkn.pia unavosema ni kweli pengine mm.nahangaika maskin kumbe yy anatatizo ah Mungu anisaidie asante kwa ushaur wako
 
habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki nisaidien kwa anaejua

Pole sana Ni vizuri na mwenzio akapimwe japo wamekupa majiubu na umtegemee Mungu sana
 
Poleni jamani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Naisweet inawezekana una ugonjwa unaoitwa endometriosis. Yaani kunakuwa na seli zinazofanana na za kifuko cha uzazi katika sehemu nyingine za mwili hasahasa tumboni. Seli hizi huwa zina tabia kama ya kifuko cha uzazi ndio maana zinaleta maumivu kipindi cha hedhi. Vilevile zinaweza kusababisha mtu kushindwa kubeba mimba.

Unfortunately matibabu yake ni kufanya operation kuona kama tatizo lipo na kuliondoa.

Je, umeshawahi kufanyiwa ultrasound? Imeonyesha nini?

Endometriosis haionekani kwenye ultrosound lakini ikiwa ultrasound iko normal na matatizo yanaendelea then inabidi kurule out hiyo.

Ushauri ninaoweza kukupa kwa sasa ni kutumia dawa za uzazi wa mpango ili kuirekebisha hedhi yako. Kutokana na jinsi mwili utakavyorespond kwa dawa hizo ndio daktari anaweza kupanga mikakati zaidi. Kwahiyo ni muhimu kuonana na gynecologist.
 
habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki nisaidien kwa anaejua

Pole kwa tatizo lako. najua umekwisha waona madaktari spesherists wa magonjwa ya akinamama (gynecologists) wakakuambia tatizo lako na kukupa dawa ambazo bado hazijakusaidia.

Nakushauri kamwe usikubari kufanyiwa upasuaji kabla ya kutumia bidhaa zifuatazo:

Female Reproductive Health Care Pills, Aloe vera Gel For Women, Female Capsules, Leonurus Pad na Pantiliners.

Baada ya hapo, rudi kwa daktari wako na jf utoe ushuhuda!

Chukua hatua. usikubali kuangamia kwa kukosa taarifa / maarifa sahihi. imetosha sasa.

Tuwasiliane: 0713 366 473 au 0767 277 223
 
asanten kwa ushauri wenu mm nishaenda kwa doctr na nishapiga atrasaund na tatzo naambiwa kuwa mayai yangu hayapevuk na nkiwambia kuhusu piriid naona siambiw lolote wananipa dawa za maumivu tu na dawa za kupevusha mayai nawakat mm mzunguko wangu wa piriod hauko sawa kabisa january nlipata tarehe 27 fbry 23 march 28 na aprl ndio sijapata nimepata tarehe 1 may kweli hapo nna mzunguko sahihi?
 
Pole Dada Yangu!lakini hilo la kubadilika siku zako mi nahc ni suala la kawaida,coz hata wifi yako(mke wangu),huwa hali hiyo humkuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…