thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,458
- 1,432
Habari za muda huu wakuu wa Jf , Leo asubuh saa 12 wakati naamka ghafla niliona damu zinanitoka puani nilichokifanya nikanawa uso then nikafanya kama vile napenga makamasi halafu nikarudi kulala kitandani huku kichwa nimekielekeza juu yaani nililala chali baadaye tatizo likutokwa na damu likaacha.
Hii kitu ilishawahi kunitokea zamani wakati nipo mdogo nikiwa na miaka 8-10, sasa naombeni kufahamishwa hii hasa husababishwa na nini? Na je kuna madhara yeyote makubwa yanaweza kujitokeza baadae.
Hii kitu ilishawahi kunitokea zamani wakati nipo mdogo nikiwa na miaka 8-10, sasa naombeni kufahamishwa hii hasa husababishwa na nini? Na je kuna madhara yeyote makubwa yanaweza kujitokeza baadae.