Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
Asante mkuuPole mzee baba
Tena akaonane na mtaalam wa magonjwa ya kina mamahilo ni tatizo aende hospital
Naweza kusema ni moja wapo ya dalili ya saratani ya shingo ya kizazi.Aende hospital hiyo nicancer ya kizazi.
Mpeleke hospitali akafanyiwe uchunguzi mapema.Habari the great thinkers
Nina mpenz wangu,hayupo period ila kila tukifanya mapenzi damu zinamtoka,je yaweza kua sababu ni nini??hii hali ina kama mwezi sasa hata yeye hajui chanzo chake ni nini.msaada tafadhali