omary khamis JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 402 Reaction score 77 May 12, 2017 #1 Kutokwa na jasho jingi nini shida??na nini nifanye jasho liwe la kawaida
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 May 12, 2017 #2 Sidhani kama ni shida mkuu otherwise labda kama unaumwa
BulamboTz Senior Member Joined Aug 28, 2016 Posts 120 Reaction score 134 May 12, 2017 #3 Tumia Edmark Splina-0655562854
omary khamis JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 402 Reaction score 77 May 13, 2017 Thread starter #4 Thanx
R Mbuna JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 2,283 Reaction score 5,371 May 13, 2017 #5 Hilo jasho linatoka wakati gani na ukiwa katika mazingira gani? Sio upo gym halafu unatoka jasho ndio unataka kusumbua watu hapa wakujibu. Toa maelezo ya kujitosheleza mkuu.
Hilo jasho linatoka wakati gani na ukiwa katika mazingira gani? Sio upo gym halafu unatoka jasho ndio unataka kusumbua watu hapa wakujibu. Toa maelezo ya kujitosheleza mkuu.
omary khamis JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 402 Reaction score 77 May 14, 2017 Thread starter #6 Hata nikiwa natembea japo najua jasho nikawaida kutoka mwilin ila hii ni too much