kama inatokea unapojjieleza mbele za watu utakuwwa na tatizo la kisaikolojia tunaita anxiety/panic disorder. tiba ya matatizo ya kisaikolojia yapo ya aina mbilil. kuna cognitive and behaviour therapy (CBT). hapa nia inakuwa ni kukuambia hakuna kitu cha kuogoopa (cognitive). pia kukufanya usiogope na uache kupanic katika mazingira fulani (behaviour). pia kuna matibabu ya dawa, mfano kuna watu hupata hali hii wakiwa wanaongea mbele za watu. hawa hupewa dawa inaitwa propanoolol ambayo husaidia kuwatuliza. nawashauri mjisomee kuhusu anxiety and panic disorders.