We ulishapima mimba??Hivi Kuna uhusiano gani kati ya kutoa mimba na kuwa na maji ukeni? Rafiki yangu amekata tamaa ya maisha anahitaji msaada, anadai kabla hajatoa ujauzito alikuwa anashiriki tendo Bila shida yeyote lakini sasa mchumba wake amekuwa akimlalamikia amekuwa na Maji mengi ukeni, amezunguka hospital nyingi Bila msaada, huenda utoaji mimba umechagia, anahitaji msaada wa kiutaalam. Nawasilisha
Kuna tofauti kati ya maji na utelezi. Asikwambie mtu utelezi ndo unaleta utamu na kuzuia michubukoKama ndio huyo kwenye avatar, basi ni kawaida kutoa maji usiwe na wasiwasi mana yana faida yake hayo maji, kwanza inakua vigumu kuathirika na ngoma.