Kutokwa na maji ukeni

Lis

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
471
Reaction score
347
Hivi Kuna uhusiano gani kati ya kutoa mimba na kuwa na maji ukeni? Rafiki yangu amekata tamaa ya maisha anahitaji msaada, anadai kabla hajatoa ujauzito alikuwa anashiriki tendo Bila shida yeyote lakini sasa mchumba wake amekuwa akimlalamikia amekuwa na Maji mengi ukeni, amezunguka hospital nyingi Bila msaada, huenda utoaji mimba umechagia, anahitaji msaada wa kiutaalam. Nawasilisha
 
Kama ndio huyo kwenye avatar, basi ni kawaida kutoa maji usiwe na wasiwasi mana yana faida yake hayo maji, kwanza inakua vigumu kuathirika na ngoma.
 
Inawezekana zile dawa za kuzuia mimba zinachangia Hilo tatizo la kutokwa na maji ukeni. Mwambie aache kuchezea hyo sehem ya siri.
 
Wengi huwa na maambukizi ya fangus.Mpeleke
Hospital akatibiwe na sio kuja JF kuuliza kitu ambacho unaweza kukimaliza mwenyewe
 
We ulishapima mimba??
 
Wala hana maji mengi bali jamaa yake hamtaki tena wala hakuwa na malengo nae alikuwa anajikojelesha tu ndio maana hata mimba alimshauri aitoe asizae akamganda, sasa anatafuta sababu ya kuchomoka jumla hata afanye nini ajue tu jamaa kesha mpoteza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…