Kutokwa na vimaji vimaji vyeupe kwenye uume

Kutokwa na vimaji vimaji vyeupe kwenye uume

little hulk

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
1,610
Reaction score
557
Naomba kujuzwa hili linasababishwa na nini na ni dalili za ugonjwa gani. Maana nina siku kama 4 tokea nikutane na mdada kimwili.
Nimeanza kusikia maumivu ya kawaida jana kipindi nikikojoa.... naona na leo linaendelea na bila hata kukojoa.
Ushauri: Kitu gani nifanye au dawa ipi nitumie kabla haijawa majanga
 
Nenda kwanza hospitali ukapime kiongozi since u can't take a medicines without doctor's advice . Huenda ikawa UTI au hata gonorrhea yote inawezekana.
 
Kaka wahi hospital hiyo ni dalili ya Kaswende au Kisonono kabisa. Nakushauri wahi hospital upime mkojo na damu kipimo kinaitwa VDRL usitumie dawa kwa kujinunulia mwenyewe ni hatari. Wala usiende kwa mganga wa kienyeji. Halafu uwe unavaa condom ndugu yangu...na magonjwa yote haya bado huogopi? khah
 
Naomba kujuzwa hili linasababishwa na nini na ni dalili za ugonjwa gani. Maana nina siku kama 4 tokea nikutane na mdada kimwili.
Nimeanza kusikia maumivu ya kawaida jana kipindi nikikojoa.... naona na leo linaendelea na bila hata kukojoa.
Ushauri: Kitu gani nifanye au dawa ipi nitumie kabla haijawa majanga
Nenda hospital ukapimwe huenda umeambukizwa magonjwa ya zinaa!!

Kwanini hukutumia kondomu kijana?
 
pole nenda kapime,
labda alisema haina radha na kondom
 
Back
Top Bottom