Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkubwa hiyo ni issue..nadhani kitaalamu itakuwa inaitwa constipation...kama unamkumbuka mama terry alikuwa anachonga sana radio 1 aliwahi kusema unatakiwa ukiwa katika afya safi ugonge haja kubwa kama mara 3 ndio masaa 24 yatimie....mfumo wa kutoa taka mwilini unaonyesha kila unachokula kina-waste products na nilazima zitoke....
kukosa haja mara nyingine huchangiwa na aina za vyakula pia unavyokula au pi kiasi cha chakula unachokula......ushauri usiokuwa wa kitaalamu...waone wamasai wakupe dawa zao za asili za kusafisha tumbo kisha utaanza kugonga choo cha kutosha
Pole sana mkuu, chakula unakula kama kawaida?
Pia kula sana matunda na kunywa sana maji
Mkuu na misosi unayotakiwa kupiga ni ile yenye nyuzinyuzi kama ngano isokobolewa maindi yasiyokobolewa maana zile nyuzi nazo dili mzeiya kwenye suala zima la kutengeneza kitu cha ******.....
Pole sana mkuu
Mtu akikaa siku tatu hadi saba bila kwenda kunya, je aweza pata madhara yoyote kiafya? Nini husababisha hari hii kutokea? Kama ni tatizo kiafya nini kifanyike?
Cha kufanya ni kwenda kuwaona wataalamu wa afya ili wakueleze chanzo,madhara na kukupatia tiba.
Kunywa mafuta ya kupikia kikombe kimoja tu kitakutosha. Nati zote zitalegea na matatizo yote ya nyuma yataisha.
Mtu akikaa siku tatu hadi saba bila kwenda kunya, je aweza pata madhara yoyote kiafya? Nini husababisha hari hii kutokea? Kama ni tatizo kiafya nini kifanyike?
Unatakiwa kwenda haja kubwa angalau mara moja kwa siku.
Kuna matatizo mengi tu kama hupati haja kubwa , mlipuko wa magonjwa mengi makubwa huanzia kwenye utumbo mkubwa.
Uwe unakula sana matunda na mboga mboga, na maji unywe mengi.Jitahidi kula matunda angalau 5 ya aina mbali mbali kila siku.
Mkuu hilo ni tatizo, unahitaji kula matunda, vitu kama kabichi, matunda ambayo unaweza kula maganda yake, maji mengi na upunguze vitu kama mikate mikavu, chapati nk.
Madhara ya constipation yanaanzia kwenye kupoteza hamu ya kula, discomfort ya tumbo, kubakiza sumu mwilini... lakini huenda mbali zaidi na kuharatisha kansa ya utumbo mpana (colon), au hat vile vinyama vya huko nanihii na kupasuka kwa njia kutokana na ukavu wa zao la constipation
Jitahidi urekebishe hali hiyo kabla hujafika stages mbaya