kutongoza kazi


nilichogundua hamtaki kuambiwa ukweli,mnajifanya watoto wa mjini kama ridwan
 
Huyo mwanamke lazima atakuwa mlugaluga mwenzie so akashoboka na jinsi. Ukisikia duniani kuna watu na viatu ndo kama hiv, unakutana na m2 hujui historia ya magonjwa yake afu unaenda kulala nae. Khaaaa ni akili au ni matope jaman?
<br />
<br />

MATOPE!!
 
Acha kuita kabila lingine washamba,washamba wapo kila sehemu
 

mkuu ugrit thinka ni zaidi ya upeo wako,kuna kabila ambalo halina washamba?je unadhani kudhalilisha kabila flani ni dili?usitupeleke kny ukabila kama huna cha kuchangia kinachoendana na mada u better skip the pg n move on,karibu
 
dah ata ka cjawai kukuona ila unaonekana we ni mshamb mpka basi... unaitaj mda sana mpka uwe kawaida
 
big shiit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…