Kutongoza mwanamke bikra inahitaji moyo mgumu na wenye kuvumilia sana

Kutongoza mwanamke bikra inahitaji moyo mgumu na wenye kuvumilia sana

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu mimi bila kuoa mwanamke bikra naona kabisa nitakua nimejipunja sana, haijalishi atakuja kuchezewa mbeleni ila atleast awe bikra halali mwanzoni mwa ndoa yetu.

Sasa ndugu zangu ;-

Katika hichi kizazi cha upatikanaji rahisi sana wa nyapu kutoka kwa wanawake na mabinti wengi waliopoteza uelekeo huku wakiwa na tamaa mbaya za mali, kuna hawa mabinti mabikra walio na utoto ndani yao yani wamegeuka wasumbufu sana kuliko hata wale mabikra wa zamani, ni wana utoto mwingi sana na siyo hata uoga wakuu.

Unakuta binti bikra kabisa unamtongoza asubuhi na jioni amesha sahau kama anampenzi, yani kazi yako inakua ni kumkumbusha anampenzi upo nae ila yeye ni kusahau tuu. Hawa mabinti bikra wa sasa hivi tena aliyeonja mapenzi kidogo huko mashuleni au mitaani na akaumizwa bila ya hata kutunuku usichana wake inahitaji moyo mgumu sana na wenye uvumilivu pindi unapo mtongoza au unapo anzisha nae mahusiani maana bila kuwa hivyo unaweza ukamchapa makofi waziwazi mpaka jamii ikakushanga na kukuona umechanganyikiwa haswa

Hawa viumbe hadimu sana wameonja tuu upendo wa maneno na kudanganyana danganyana na vitoto wezao pamoja na kuumizana kihisia ila upendo wa kweli hawajaonja kabisa na hawataki kuusikia tena wala kutoa nyuchi zao tuzi zindue na kwa sisi wa oaji tuweke ndani kabisa.

Ndugu kwa hawa mabinti bila kuwa muongo sana na mkweli kidogo kama punje ya haradali au mjanja mjanja na mwenye asiye na tamaa ya haraka huwezi kutoboa kabisa wakuu.

Sijui uwekeze mbinu gani zaidi maana wenzake wamesha wasimulia wanaume ni mbwau na wao wakilinganisha na mapenzi yao ya kitoto wanarudi kuconclude kwamba hawayataki mapenzi na hawapo teyari kabisa na ukimshika tuu anapiga ukunga.


Nb: MIAKA 30 SIYO MICHACHE , CHEZA KWA AKILI MABINTI WENGI BIKRA BADO NI NYARA ZA SERIKALI ,SHAURI YETU WANAUME
 
NDO NALOPITIA MIMI MUDA HUU NA NAANDIKA HAPA MUNGU SHAHIDI BINTI UMRI 20 UMBO SANICHOKA LAFUDHI MJALUO UZURI WEMA SEPETU MJINI ANAIONA KWA MBALI EMBU NIPENI MBINU ANACHOTAKA NDOA MAANA MIKISS HATAKI YANI UKIMSHIKA KANUNA STORY UTOTO YEYE NA MIMI KUZURURA TU ACHENI ILI ZARI LA MENTALY KAMA LINATAKA KUNIPITA
 
Unashindwa kumwambia una 50 unamwingiza kichwa tu

Mnakopa madukani hadi bakra
 
NDO NALOPITIA MIMI MUDA HUU NA NAANDIKA HAPA MUNGU SHAHIDI BINTI UMRI 20 UMBO SANICHOKA LAFUDHI MJALUO UZURI WEMA SEPETU MJINI ANAIONA KWA MBALI EMBU NIPENI MBINU ANACHOTAKA NDOA MAANA MIKISS HATAKI YANI UKIMSHIKA KANUNA STORY UTOTO YEYE NA MIMI KUZURURA TU ACHENI ILI ZARI LA MENTALY KAMA LINATAKA KUNIPITA
Nachekaga tu
 
Unatongoza Mtoto wewe, mdanganyie pipi ya chocolate
 
Back
Top Bottom