MOODY ECONOMICS
New Member
- Apr 30, 2013
- 2
- 0
Kuna uvmi kwamba matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 yaani wale waliovunja record ya kufeli hayaonekani mtandaoni.Sasa ni vizuri kuhakiki wao wenyewecoz imesababisha matatizo mtaani kwetu.
kitaeleweka tu
Watu walishayavuna na kuyahifadhi yote katika ki file kidogo tu cha MS Excel tangu kitambo tu kwa kujua mambo kama haya yanaweza kutokea.
File lenyewe liko hapa http://uploadingit.com/file/view/gdw86gi7by9ew6cs/CSEE2012.zip.
ni kwel mkuu wameyatoa
Watu wapo dakika 15 mbele, walishajua kwamba matokeo yanaweza kutolewa mtandaoni, ngoja tuyavune na kuyahifadhi kama yatahitajika.
Naskia they do a new correction and more people get As, and the case is solved. So hata ukileta za zamani unaweza kuambiwa those were wrongly marked. Labda tungehifadhi majibu ya wanafunzi ndio tungepatia.
I really wonder what has crossed their mind when they took this decision...