Pre GE2025 Kutoonekana kwa Patrick Boisafi (Mwenyekiti wa CCM Mkoa)na Athari zake kwa CCM Mkoa wa Kilimanjaro kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Kutoonekana kwa Patrick Boisafi (Mwenyekiti wa CCM Mkoa)na Athari zake kwa CCM Mkoa wa Kilimanjaro kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

milele amina

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
6,045
Reaction score
8,080
Utangulizi

Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kumekuwapo na maswali mengi kuhusu kutoonekana kwa Patrick Boisafi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro.

Ni muda mrefu sasa tangu hajaonekana kwenye vikao muhimu vya chama, sherehe, misiba, na hata harambee mbalimbali.

Hali hii imeleta wasiwasi miongoni mwa wanachama wa CCM na viongozi wa CCM,ngazi ya Mkoa na Wilaya zote,ambao wanahitaji uongozi thabiti na wa kuaminika katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.

Umuhimu wa Kiongozi Katika Kipindi cha Uchaguzi

Uchaguzi mkuu wa 2025 unakaribia kwa kasi, na ni wazi kuwa kiongozi kama Patrick Boisafi anatarajiwa kuwa sehemu muhimu katika kupanga mikakati ya chama.

Kutoonekana kwake ni hatari kubwa, kwani mkoa wa Kilimanjaro unakabiliwa na changamoto nyingi kutoka kwa vyama vya upinzani, ambavyo vinazidi kujitanua katika kila kona na wilaya.

Wanachama wa CCM wanahitaji kuungana na kushirikiana ili kukabiliana na changamoto hizi, na kiongozi ambaye hafai kuonekana anaweza kupelekea kukosekana kwa umoja huo.

Kutoonekana kwa Boisafi: Sababu na Maoni

Ni muhimu kujiuliza ni sababu zipi zinazomfanya Boisafi kutoshiriki kwenye shughuli za chama.

Ikiwa ana matatizo ya kiafya, ni vyema CCM ikatoa taarifa rasmi ili wanachama waweze kumwombea.

Hii itasaidia kuondoa uvumi na kuwapa wanachama matumaini. Hata hivyo, kuna wasiwasi kwamba, licha ya kukosekana kwake, Boisafi hana msaada mkubwa kwa wanachama wa kawaida, hasa wale wanyonge. Kila mtu anajua kuwa uongozi bora ni ule unaowajali wanachama wote, na sio wale wenye uwezo wa kifedha pekee.


Biashara na Mikakati ya Uchaguzi

Eneo la Kili Home,( eneo analolimiliki) ambapo Boisafi anajulikana kupenda kula na kunywa, pia limekuwa ni eneo la mikakati ya kisiasa.

Hapa ndipo viongozi wanapokutana kuzungumzia mipango ya uchaguzi. Hata hivyo, hali ya uchumi wa wanachama wengi wa CCM inawafanya wasiweze kufikia huduma za hoteli hiyo, kwani gharama ni kubwa kupita kiasi.

Hii inadhihirisha jinsi ilivyo muhimu kwa viongozi kuhakikisha kuwa wanawasaidia wanachama wanyonge katika kupata huduma bora na za bei nafuu.

Hitimisho

Kutoonekana kwa Patrick Boisafi ni janga ndani ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro, na Katibu wa CCM Mkoa,hatoshi kwenye nafasi hiyo,ambapo,inaendelea kuongeza hofu kwa wanachama wa CCM mkoa mzima, hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Ni vyema chama kijitahidi kuwasiliana na familia yake, kujua , kuhusu hali yake, ili kuepusha uvumi na kuwapa matumaini kuelekea uchaguzi Mkuu 2025.

Kiongozi wa chama anapaswa kuwa na uwazi na kujituma kwa ajili ya wanachama wote, si tu kwa wale wenye uwezo wa kifedha. Hii itasaidia kujenga umoja na nguvu katika CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.
 
Kutoonekana kwa Patrick Boisafi ni janga ndani ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro, na Katibu wa CCM Mkoa,hatoshi kwenye nafasi hiyo,ambapo,inaendelea kuongeza hofu kwa wanachama wa CCM mkoa mzima, hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Ni vyema chama kijitahidi kuwasiliana na familia yake, kujua , kuhusu hali yake, ili kuepusha uvumi na kuwapa matumaini kuelekea uchaguzi Mkuu 2025.
Baadhi ya majimbo ya mkoa wa Kilimanjaro,yalikuwa earmarked kwenye ule mpango wa nusu mkate,hivyo Mwenyekiti na katibu ni watu wanaojitambua na kujielewa,wameamua kutulia kwanza kujua ni majimbo gani ya nusu mkate, waachie wasipoteze bure nguvu zao na wapi ndio wakaze。na kupeleka nguvu kubwa,baada ya FAM kutoswa Chadema nusu mkate imeparaganyika sasa mambo ni vuluvulu,mshike mshike,CCM haijui washike wapi,waachie wapi!na kwa vile kaingia usiomtaka,hata lile bao la mkono la kinapenape,lililozoeleka, kwa uchaguzi wa 2025 ni hati hati, hofu hofu!。
P
 
Baadhi ya mkoa wa Kilimanjaro,yalikuwa earmarkedkwenye mpango wa nusu mkate,hivyo Mwenyekiti na katibu ni watu wanaojitambua,kutulia kwanza kujua majimbo ya nusu mkate ni yapi waachie na wapi ndio wakaze kupeleka nguvu,baada ya FAM kutoswa Chadema nusu mkate imeparaganyika sasa mambo ni vuluvulu,mshike mshike,CCM haijui washike wapi,waachie wapi!。
P
Aisee
 
Utangulizi

Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kumekuwapo na maswali mengi kuhusu kutoonekana kwa Patrick Boisafi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro.

Ni muda mrefu sasa tangu hajaonekana kwenye vikao muhimu vya chama, sherehe, misiba, na hata harambee mbalimbali.

Hali hii imeleta wasiwasi miongoni mwa wanachama wa CCM na viongozi wa CCM,ngazi ya Mkoa na Wilaya zote,ambao wanahitaji uongozi thabiti na wa kuaminika katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.

Umuhimu wa Kiongozi Katika Kipindi cha Uchaguzi

Uchaguzi mkuu wa 2025 unakaribia kwa kasi, na ni wazi kuwa kiongozi kama Patrick Boisafi anatarajiwa kuwa sehemu muhimu katika kupanga mikakati ya chama.

Kutoonekana kwake ni hatari kubwa, kwani mkoa wa Kilimanjaro unakabiliwa na changamoto nyingi kutoka kwa vyama vya upinzani, ambavyo vinazidi kujitanua katika kila kona na wilaya.

Wanachama wa CCM wanahitaji kuungana na kushirikiana ili kukabiliana na changamoto hizi, na kiongozi ambaye hafai kuonekana anaweza kupelekea kukosekana kwa umoja huo.

Kutoonekana kwa Boisafi: Sababu na Maoni

Ni muhimu kujiuliza ni sababu zipi zinazomfanya Boisafi kutoshiriki kwenye shughuli za chama.

Ikiwa ana matatizo ya kiafya, ni vyema CCM ikatoa taarifa rasmi ili wanachama waweze kumwombea.

Hii itasaidia kuondoa uvumi na kuwapa wanachama matumaini. Hata hivyo, kuna wasiwasi kwamba, licha ya kukosekana kwake, Boisafi hana msaada mkubwa kwa wanachama wa kawaida, hasa wale wanyonge. Kila mtu anajua kuwa uongozi bora ni ule unaowajali wanachama wote, na sio wale wenye uwezo wa kifedha pekee.


Biashara na Mikakati ya Uchaguzi

Eneo la Kili Home,( eneo analolimiliki) ambapo Boisafi anajulikana kupenda kula na kunywa, pia limekuwa ni eneo la mikakati ya kisiasa.

Hapa ndipo viongozi wanapokutana kuzungumzia mipango ya uchaguzi. Hata hivyo, hali ya uchumi wa wanachama wengi wa CCM inawafanya wasiweze kufikia huduma za hoteli hiyo, kwani gharama ni kubwa kupita kiasi.

Hii inadhihirisha jinsi ilivyo muhimu kwa viongozi kuhakikisha kuwa wanawasaidia wanachama wanyonge katika kupata huduma bora na za bei nafuu.

Hitimisho

Kutoonekana kwa Patrick Boisafi ni janga ndani ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro, na Katibu wa CCM Mkoa,hatoshi kwenye nafasi hiyo,ambapo,inaendelea kuongeza hofu kwa wanachama wa CCM mkoa mzima, hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Ni vyema chama kijitahidi kuwasiliana na familia yake, kujua , kuhusu hali yake, ili kuepusha uvumi na kuwapa matumaini kuelekea uchaguzi Mkuu 2025.

Kiongozi wa chama anapaswa kuwa na uwazi na kujituma kwa ajili ya wanachama wote, si tu kwa wale wenye uwezo wa kifedha. Hii itasaidia kujenga umoja na nguvu katika CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.
Utangulizi

Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kumekuwapo na maswali mengi kuhusu kutoonekana kwa Patrick Boisafi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro.

Ni muda mrefu sasa tangu hajaonekana kwenye vikao muhimu vya chama, sherehe, misiba, na hata harambee mbalimbali.

Hali hii imeleta wasiwasi miongoni mwa wanachama wa CCM na viongozi wa CCM,ngazi ya Mkoa na Wilaya zote,ambao wanahitaji uongozi thabiti na wa kuaminika katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.

Umuhimu wa Kiongozi Katika Kipindi cha Uchaguzi

Uchaguzi mkuu wa 2025 unakaribia kwa kasi, na ni wazi kuwa kiongozi kama Patrick Boisafi anatarajiwa kuwa sehemu muhimu katika kupanga mikakati ya chama.

Kutoonekana kwake ni hatari kubwa, kwani mkoa wa Kilimanjaro unakabiliwa na changamoto nyingi kutoka kwa vyama vya upinzani, ambavyo vinazidi kujitanua katika kila kona na wilaya.

Wanachama wa CCM wanahitaji kuungana na kushirikiana ili kukabiliana na changamoto hizi, na kiongozi ambaye hafai kuonekana anaweza kupelekea kukosekana kwa umoja huo.

Kutoonekana kwa Boisafi: Sababu na Maoni

Ni muhimu kujiuliza ni sababu zipi zinazomfanya Boisafi kutoshiriki kwenye shughuli za chama.

Ikiwa ana matatizo ya kiafya, ni vyema CCM ikatoa taarifa rasmi ili wanachama waweze kumwombea.

Hii itasaidia kuondoa uvumi na kuwapa wanachama matumaini. Hata hivyo, kuna wasiwasi kwamba, licha ya kukosekana kwake, Boisafi hana msaada mkubwa kwa wanachama wa kawaida, hasa wale wanyonge. Kila mtu anajua kuwa uongozi bora ni ule unaowajali wanachama wote, na sio wale wenye uwezo wa kifedha pekee.


Biashara na Mikakati ya Uchaguzi

Eneo la Kili Home,( eneo analolimiliki) ambapo Boisafi anajulikana kupenda kula na kunywa, pia limekuwa ni eneo la mikakati ya kisiasa.

Hapa ndipo viongozi wanapokutana kuzungumzia mipango ya uchaguzi. Hata hivyo, hali ya uchumi wa wanachama wengi wa CCM inawafanya wasiweze kufikia huduma za hoteli hiyo, kwani gharama ni kubwa kupita kiasi.

Hii inadhihirisha jinsi ilivyo muhimu kwa viongozi kuhakikisha kuwa wanawasaidia wanachama wanyonge katika kupata huduma bora na za bei nafuu.

Hitimisho

Kutoonekana kwa Patrick Boisafi ni janga ndani ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro, na Katibu wa CCM Mkoa,hatoshi kwenye nafasi hiyo,ambapo,inaendelea kuongeza hofu kwa wanachama wa CCM mkoa mzima, hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Ni vyema chama kijitahidi kuwasiliana na familia yake, kujua , kuhusu hali yake, ili kuepusha uvumi na kuwapa matumaini kuelekea uchaguzi Mkuu 2025.

Kiongozi wa chama anapaswa kuwa na uwazi na kujituma kwa ajili ya wanachama wote, si tu kwa wale wenye uwezo wa kifedha. Hii itasaidia kujenga umoja na nguvu katika CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.
mwenyekiti wa mkoa chama kinachotawala ni mtu mkubwa,kama kuna sababu ya kuhitaji taarifa zake sidhani kama hapa ndipo sehemu stahiki kwa sababu ofisi yake ipo na katibu wa chama mkoa yupo pia.
je kote huku umefuatilia taarifa zake ukapata jibu gani??.
ila kwa namna hii ya utoaji wa taarifa ni kama vile umeamua kumsagia kunguni.
kwa sababu eneo lake la biashara na bei zinazotozwa kwenye huduma zina uhusiano gani na mambo ya chama?
kwa sababu bei huwa mtu anatoza kwenye biashara kutegemeana na standard ya watu anaohitaji kwenye biashara yake.
swala la yeye kuwa mwenyekiti wa chama haimaanishi kuwa uhusiano na biashara atakayofanya kwamba iwe ni biashara ya kuhudumia watu wa makundi yote(class) na kwa sababu hajaweka tangazo lenye maruku ya kibaguzi sioni kama kuna shida.
 
Huenda jamaa ni mgonjwa akawa anatibiwa nje ya nchi kama Nairobi, South Africa au India.
 
Back
Top Bottom