Nancy herman
Member
- Apr 29, 2013
- 35
- 8
Cc MziziMkavuHabari! mdogo wangu anamatatizo ya kutoona siku zake mara kwa mara. anaweza pata mwezi huu akafunga miezi 2 au 1 tatizo ni nini?
Kama ni Mdogo wako au ni kama wewe mwenyewe lakini ndio unasema mdogo wako nenda Hospitali kuangaliwa na Daktari ndio atajuwa kutopata siku zako kwa njia ya kwaida kunasababishwa na nini ? atakupa dawa au atakupa ushauri wa kufanya ikishindikana hujapona wewe au huyo ndugu yako uje hapa utupe feedback ndo ndio tutaweza kukusaidia pasipo na kwenda hospitali hutapata msaaada wowote ule hapa jaribu fanya hivyo kisha uje tena hapa kueleza umefikia wapi?Habari! mdogo wangu ya kutoona siku zake mara kwa mara. anaweza pata mwezi huu akafunga miezi 2 au 1 tatizo ni nini?
Bibie Chocs hujambo lakini?
Kama ni Mdogo wako au ni kama wewe mwenyewe lakini ndio unasema mdogo wako nenda Hospitali kuangaliwa na Daktari ndio atajuwa kutopata siku zako kwa njia ya kwaida kunasababishwa na nini ? atakupa dawa au atakupa ushauri wa kufanya ikishindikana hujapona wewe au huyo ndugu yako uje hapa utupe feedback ndo ndio tutaweza kukusaidia pasipo na kwenda hospitali hutapata msaaada wowote ule hapa jaribu fanya hivyo kisha uje tena hapa kueleza umefikia wapi?
Bibie Chocs hujambo lakini?
Oh plizzzz! MoneyMakers!! Pads na pantyliners zitamsaidiaje kuimarisha upatikanaji wa siku zake?Mkuu
Naomba tuwasiliane kwa VIRUTUBISHO vitakavyomsaidia mdogo wako juu ya tatizo lake ikiwemo pad na pantiliners.
0713 366 473
0767 277 223
KARIBU
Oh plizzzz! MoneyMakers!! Pads na pantyliners zitamsaidiaje kuimarisha upatikanaji wa siku zake?