Hata mimi nina kaka yangu yalimkuta hayo hayo sasa ni mwaka wa 8 hatujui aliko yaani hataki kabisa kujulikana amesusa mpaka familia nzima kisa mkewe, jamani wamama tuwe na kiasi
Hatujui ugomvi ulikuwa ni nini kiundani.
So ngumu sana kushauri
mie sijui kama ni busara au la kutoroka familia...ila nampongeza kwa kumuacha huyo mwanamke aliyekuwa anamuabuse psychologically and physically .....jambo ambalo angepaswa kuweka kny consideration ni watoto wake, future yao na yake mwenyewe.......nahisi amekuwa abused sana mpk amesuufer low self esteem kiasi na anafeel worthless yeye kama baba ndio maana kakimbia..........mie ningekushauri mumtafute anaweza kujiua,mumpe ushauri aachane na mkewe ila wapange future na jinsi ya kulea watoto wao..........msisitizo mumuonyesha kuwa watoto wake bado wanamuhitaji,na mmpoint yale mazuri aliyoyafanya anayoweza kufanya kwake na familia yake ili arebuild up his lost confidence.
Hata mimi nina kaka yangu yalimkuta hayo hayo sasa ni mwaka wa 8 hatujui aliko yaani hataki kabisa kujulikana amesusa mpaka familia nzima kisa mkewe, jamani wamama tuwe na kiasi
Mkuu, asante kwa ushauri. Nakubaliana na wewe kabisa. Huyu mama bila shaka naye anataka kurithi mali za mwanaume. Aliwahi kuniambia kuwa".... hadi nifike hapa, nilimtoa mwanaume kwao, amenijengea hapa karibu na kwetu, siwezi kutoka hapa, labda yeye aondoke." Kabila lake ni Mhaya. Sijui ni target group yako???
Inasikitisha bw Edson,...labda nikuulize? wewe binafsi umemtafuta? na
umetumia njia gani kumtafuta? Familia yake wanaendeleaje bila yeye?
mkuu mpaka leo hatuji aliko familia yote...... tulishatafuta hadi tumechoka....
familia yake ipo ..watoto wapo katika famila yetu tumewasomesha na wanaendelea vizuri.....mama wa watoto wale alikaa kwa mwaka mmoja lakini alifariki baadae 2008 june kwa malaria.......watoto wawili wapo hai na tumewainclude katika familia yetu...mali zao zipo na wakikua watapewa kwa sasa famia yangu ndo inasimania.....na hizo ndizo zinasomesha watot wale