Kutoroka karantini!

😝😝😝😝😝
hapo kuwavuta mwendo angaanda huku anageuka nyuma anapiga chafya
 
madokta wanafanya kaz ya gesi la P...,gesi la P.... linafanya kazi ya TISIARAEI,TISIARAEI inafanya kazi ya washika maiki,washika maiki wanafanya kazi ya madokta.Basi huu huitwa MCHAFUKOGE!!


IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ahsante kwa kuifanya asubuhi yangu iwe super
 
Wanakukimbiza utadhani unakitu cha thamani kumbeπŸ˜‚πŸ˜…
 
Nacheka lakini naogopa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…