nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
85℅ya watanzania ni wakulima,kutokiweka kilimo kama kipaumbele cha kwanza cha taifa ni sawa na kufanya ugaidi.
Tabia za Mwigulu zimejipambanua ktk bajeti ijayo,kilimo kakituma mbali,hii inatoa tafsiri kuwa yeye hana habari na watanzania wakulima.
Mwigulu hana uzalendo na hafai kabisa kuwa Waziri.
Tabia za Mwigulu zimejipambanua ktk bajeti ijayo,kilimo kakituma mbali,hii inatoa tafsiri kuwa yeye hana habari na watanzania wakulima.
Mwigulu hana uzalendo na hafai kabisa kuwa Waziri.