sijawah ona 1st yr washamba kama hawa wa mwaka huu hapa udsm,sijui ni utoto,yani hawana umoja kabisa,natabir tukiondoka sisi na hawa madogo wa 2nd yr,udsm kitakua chuo cha kilokole.
Wanapaswa wawalaumu wazazi wao.
Serikali haina uwezo wa kuwasomesha wanafunzi wote wanaoingia chuo kikuu. Bodi ya mikopo inaongozwa na bajeti na si siasa.
Nawatakieni Maisha Mema. MUNGU AWABARIKI.
Wanapaswa wawalaumu wazazi wao.
Serikali haina uwezo wa kuwasomesha wanafunzi wote wanaoingia chuo kikuu. Bodi ya mikopo inaongozwa na bajeti na si siasa.
Nawatakieni Maisha Mema. MUNGU AWABARIKI.
Serikali inaongozwa na bajeti. Inakuaje mnataka kuingiza siasa mahali pasipostahili.
Si lazma wote kwenda chuo, rudini kijijini mkalime.
sijawah ona 1st yr washamba kama hawa wa mwaka huu hapa udsm,sijui ni utoto,yani hawana umoja kabisa,natabir tukiondoka sisi na hawa madogo wa 2nd yr,udsm kitakua chuo cha kilokole.
Serikali inaongozwa na bajeti. Inakuaje mnataka kuingiza siasa mahali pasipostahili.
Si lazma wote kwenda chuo, rudini kijijini mkalime.