Kutujengea reli halafu tukatane kwenye mizigo anayosafirisha, sio utapeli wa Kimataifa?

Kutujengea reli halafu tukatane kwenye mizigo anayosafirisha, sio utapeli wa Kimataifa?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Kuna harufu ya UTAPELI wa kimataifa,

Habari SERIKALI kuchukua mkopo kienyeji kienyeji na kisha kukatana kwenye usafirishaji imetoka wapi ??
Utaratibu wa wauza mazao wakileta mizigo kwa mafuso ndio serikali inataka kutumia kwenye SGR na treni zetu mpya ambazo zote ni za mkopo.

Awepo mwamba mmoja BINAFSI atatumia bure kwa kivuli cha kujenga kipande kidogo eti TUNAKATA KIDOGO KIDOGO.

KINACHOTAKIWA SERIKALI ICHUKUE MKOPO KOKOTE KISHA IJENGE NA MAREJESHO YAWE YA MIKOPO SIO KUKATANA KWENYE MATUMIZI YA SGR NA TRENI ZOTE ANAKUWA ANASAFIRISHA MIZIGO KWA KUKATANA.

BADALA YA KUKATANA NI VIZURI TULIPE MKOPO KWA UTARATIBU UNAOELEWEKA RASMI
 
UTARATIBU HUU HAIFAI BORA SERIKALI ICHUKUE MKOPO KWAKE KISHA IWE INAMLIPA YEYE
NA YEYE AKITUMIA RELI ALIPE KAMA WENGINEO
KINYUME NA HAPO KUNA UTAPELI MKUBWA SANA UNAENDA KUTOKEA
 
Kwa ufupi siungi mkono utaratibu wa kukatana kwa kusafirisha mzigo ni UTARATIBU MGUMU sana

Huu ni mkopo pia lakini usioelewekqa kabisa maana marejesho ni kukatana kwenye mizigo utafikiria biashara ya michele kule Mbeya

Bora Serikali ichukue MKOPO kutoka kwake wawe na time frame ya kulipa kama mikopo mingineyo ya SGR

Kisha huyo jamaa naye awe analipa gharama za usafirishaji kama wengine

KINYUME NA HAPO KUNA UTAPELI MKUBWA SANA UNAENDA KUTOKEA kwenye ENEO la usafirishaji mzigo maana yeye anaenda kutumia MIUNDOMBINU yote ya SGR kupitishia mizigo yake kwenye TRENI ZETU
UNAWEZA KUKUTA TRC INASAFIRISHA MIZIGO KILA MIZIGO INASINGIZIWA YAKE
 
Back
Top Bottom