hataa zikiwa pcs ngapi, computer hazina ushuru tz....ishu ni gharama za usafirishaji kwa uzito wake kutokea huko, na usipoteze number ya mzigo......ili uweze kufuatilia au unaye mtumia aweze kuufuatilia ulipofikia...sijui inaitwa track number au nini, utawauliza number ya mzigo!
hataa zikiwa pcs ngapi, computer hazina ushuru tz....ishu ni gharama za usafirishaji kwa uzito wake kutokea huko, na usipoteze number ya mzigo......ili uweze kufuatilia au unaye mtumia aweze kuufuatilia ulipofikia...sijui inaitwa track number au nini, utawauliza number ya mzigo!