Kutuma pesa mtu akiwa Kenya kwa kutumia Western Union

Kutuma pesa mtu akiwa Kenya kwa kutumia Western Union

gilbsonassan

Member
Joined
Jul 2, 2015
Posts
56
Reaction score
9
Jamaa naomba msaada nijue ni namna gani mtu ataweza kukutumia pesa akiwa Kenya kwa kutumia Western Union na Mtu akiwa hapa Tanzania afanyaje ili aweze kuzipata hizo fedha na pia Western Union makato yao yapoje na pia mimi nitaipokeaje hiyo fedha.

Naombeni msaada wenu.
 
Jamaa naombe msaada nijue ni namna gani ntu ataweza kukutumia pesa akiwa kenya kwa kutumia Western Union na Mtu akiwa hapa Tz afanyaje ili aweze kuzipata hizo fedha na pia Western Union makato yao yapoje na pia mm nitaipokeaje hiyo fedha ....naombeni msaada wenu
 
Sijafahamu, mie nimepokea mwez uliopita kwenye mpesa yangu, aliyenitumia alikuwa safaricom. Jaribu kufanya utafiti. Aliyenitumia ndio aliyekatwa ila sikumbuk sh ngap.
 
Jamaa naombe msaada nijue ni namna gani ntu ataweza kukutumia pesa akiwa kenya kwa kutumia Western Union na Mtu akiwa hapa Tz afanyaje ili aweze kuzipata hizo fedha na pia Western Union makato yao yapoje na pia mm nitaipokeaje hiyo fedha ....naombeni msaada wenu
Fika ofisi za posta (western union agent) zilizo karibu nawe na utaweza kupata huduma ya western union.

Na pia utapata ufafanuzi wa ghalama za kutuma pesa kulingana na kiasi unachotaka kutuma.

Hakuna makato kwa mpokeaji wa fedha.

Ila kwa swala kutuma/kupokea fedha kwa Tanzania na kenya ni vyema ukatumia huduma ya mpesa/ safarikom - Inachotakiwa uwe na laini ya simu iliyo na usairi kamili.

Thread rejea
 
Tumia Mpesa naona ni rahisi zaidi au Airtel kama sikosei na wanayo

Western Union au Money gram wapo vizuri pia
 
Back
Top Bottom