Kutumbuliwa kwa Mulamula na kusuasua kwa Nape na Makamba, Hayati Magufuli alikuwa na maono

Kutumbuliwa kwa Mulamula na kusuasua kwa Nape na Makamba, Hayati Magufuli alikuwa na maono

Kijogoodi

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
1,362
Reaction score
2,373
Kila kilichokataliwa na Magufuli kitabaki vilevile na kila kilichoinuliwa na Magufuli kitabaki vilevile. Iko wapi bandari ya Bagamoyo?

Kuhusu uwanja wa ndege Chato je? Vipi kuhusu waliopinga serikali kuhamia Dodoma? Vipi kuhusu utendaji wa Nape, Nchemba na Makamba kwa sasa?

Ikumbukwe, hata Hayati Magufuli alimtema huyo mtu Liberata Mulamula baada ya kugundua siyo mwaminifu na anao uraia wa USA na Tanzania.

Hoja hapa ilikuwaje Samia alishupaza kichwa na kumteua mtu asiye mwaminifu kwa Taifa letu na huenda ni asset wa Taifa lake pacha?!

Picha hapo chini zinajieleza bayana ni nani athaminiwaye kuliko mwenzake na mabeberu.
 
Kila kilichokataliwa na Magufuli kitabaki vilevile na kila kilichoinuliwa na Magufuli kitabaki vilevile. Iko wapi bandari ya Bagamoyo?

Kuhusu uwanja wa ndege Chato je? Vipi kuhusu waliopinga serikali kuhamia Dodoma? Vipi kuhusu utendaji wa Nape, Nchemba na Makamba kwa sasa?

Ikumbukwe, hata Hayati Magufuli alimtema huyo mtu Liberata Mulamula baada ya kugundua siyo mwaminifu na anao uraia wa USA na Tanzania.

Hoja hapa ilikuwaje Samia alishupaza kichwa na kumteua mtu asiye mwaminifu kwa Taifa letu na huenda ni asset wa Taifa lake pacha?!

Picha hapo chini zinajieleza bayana ni nani athaminiwaye kuliko mwenzake na mabeberu.
Ujinga ukizidi huwa upumbavu
 
Kila kilichokataliwa na Magufuli kitabaki vilevile na kila kilichoinuliwa na Magufuli kitabaki vilevile. Iko wapi bandari ya Bagamoyo?

Kuhusu uwanja wa ndege Chato je? Vipi kuhusu waliopinga serikali kuhamia Dodoma? Vipi kuhusu utendaji wa Nape, Nchemba na Makamba kwa sasa?

Ikumbukwe, hata Hayati Magufuli alimtema huyo mtu Liberata Mulamula baada ya kugundua siyo mwaminifu na anao uraia wa USA na Tanzania.

Hoja hapa ilikuwaje Samia alishupaza kichwa na kumteua mtu asiye mwaminifu kwa Taifa letu na huenda ni asset wa Taifa lake pacha?!

Picha hapo chini zinajieleza bayana ni nani athaminiwaye kuliko mwenzake na mabeberu.
Chemba alikataliwa lini? Alitolewa mambo ya ndani kwa mbwembwe , akateuliwa Sheria nakatiba kwa mbwembwe.
Kumbuka aliapishwa chato hata kabla ya mtangulizi wake kuzikwa.
 
Magufuli alikua akizingatia sana taarifa za wataalam wetu.

Ni wachache sana walionewa kipindi chake.

Maamuzi yake mengi yalikuwa sahihi.

Sote tunashuhudia sasa.
Waapii
 
Kila kilichokataliwa na Magufuli kitabaki vilevile na kila kilichoinuliwa na Magufuli kitabaki vilevile. Iko wapi bandari ya Bagamoyo?

Kuhusu uwanja wa ndege Chato je? Vipi kuhusu waliopinga serikali kuhamia Dodoma? Vipi kuhusu utendaji wa Nape, Nchemba na Makamba kwa sasa?

Ikumbukwe, hata Hayati Magufuli alimtema huyo mtu Liberata Mulamula baada ya kugundua siyo mwaminifu na anao uraia wa USA na Tanzania.

Hoja hapa ilikuwaje Samia alishupaza kichwa na kumteua mtu asiye mwaminifu kwa Taifa letu na huenda ni asset wa Taifa lake pacha?!

Picha hapo chini zinajieleza bayana ni nani athaminiwaye kuliko mwenzake na mabeberu.
nenda chato, kamfufue Uzikwe wewe. vinginevyo ni kelele tu.
unamtofautisha mtu aliye ua, kutesa na kupoteza watu bila sababu na mama wa watu muungwana na mpenda haki yule
unatia kinyaa
 
nenda chato, kamfufue Uzikwe wewe. vinginevyo ni kelele tu.
unamtofautisha mtu aliye ua, kutesa na kupoteza watu bila sababu na mama wa watu muungwana na mpenda haki yule
unatia kinyaa
Hivi tokea Samia aingie wameshakufa watu wangapi? Wale vijana waliopotea wa hapo kariakoo,yule jama aliyeuawa wa madini kule mtwara na mauaji kibao wa panya road na majambazi huyaoni? Au nchi hii wanasiasa tu ndo binadamu amina Lisu? Stupid!
 
Back
Top Bottom