Bado Mungu anaendelea kuipigania nchi hata kama watanzania wengi wamekata tamaa.
Nape alitumbuliwa na Magufuli, ikawa nongwa na mashambulizi yakaanza hadi wazee wenye heshima zao wakaingia kwenye vita ya kumshambulia Magufuli. Napę akavimba bichwa na kukosa muda wa kutafakari utumishi wake.
Nchi ina wenyewe linapokuja suala la uongozi.
Samia alipochukuwa usukani, kawachukua kina Nape tena. Siyo mbaya coz ana mamlaka ya kufanya hivyo. Huenda Magufuli alimuonea Napę? Jibu liko wazi baada ya Samia naye kumchoka.
Yuko bench tena kwa sasa. Ajitafakari na kujifunza.
Nape alitumbuliwa na Magufuli, ikawa nongwa na mashambulizi yakaanza hadi wazee wenye heshima zao wakaingia kwenye vita ya kumshambulia Magufuli. Napę akavimba bichwa na kukosa muda wa kutafakari utumishi wake.
Nchi ina wenyewe linapokuja suala la uongozi.
Samia alipochukuwa usukani, kawachukua kina Nape tena. Siyo mbaya coz ana mamlaka ya kufanya hivyo. Huenda Magufuli alimuonea Napę? Jibu liko wazi baada ya Samia naye kumchoka.
Yuko bench tena kwa sasa. Ajitafakari na kujifunza.