Kutumia Kiswahili kufundishia sekondari na vyuo

Joined
Nov 6, 2012
Posts
35
Reaction score
5
Ni muda mrefu sana umepita tangu nisikie kuwa kuna mchakato wa kukifanya Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia katika shule za sekondari na vyuo hapa Tz. Je mchakato huo bado upo? Na kama upo kuna anayejua umefikia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…