Kutumia mkono wa kulia

muache atumie mkono huo huo. Nasikia ukimlazimisha kubadili mkono atakua kulaza ila sijui kweli au maneno ya mtaani
 
Please please please usimlazimishe kutumia kulia, mwache hivohivo.
Acha asili uchukue nafasi yake. Kutumia kushoto sio nuksi wala balaa ila ni maumbile tu kama walivyo weusi na weuzi au wafupi na warefu
 
Huna haja ya kumlazimisha kutumia huo mkono, kwani ndo ubongo wake uko upande huo
 
Mashoto wanakuaga wapo vizuri up stairs automatic eg Baraka Obama,Bill Clinton,Bush,Ronald Reagan,Fidel Castro,Prince William,Prince Charles nk
 
Naamini mkono wa kushoto na kulia yote tumepewa na MOLA sa sijui kwanini wanasema mkono wa kushoto ni wa chooni!! Kama ni wa chooni kwa nini MUNGU akupe huo mkono c??naombeni wataalamu wa mambo mtujuze hilo inakuwaje ,
 
Huwa kitahalam anatumia ubongo wa nyuma, napia ni mtu mwenye maamuz sahihi sana so mwache hcho ni kipaji.
 
Asante wote jaman ... btw nilikuwa nauliza tu kama kuna ambaye anajua! Mi wala sina mpango wa kumlazimisha! Mwanangu mwenyewe anaonekana bright sana!
 
Mashoto wanakuaga wapo vizuri up stairs automatic eg Baraka Obama,Bill Clinton,Bush,Ronald Reagan,Fidel Castro,Prince William,Prince Charles nk
Hii ni asili yao ndio maana wanavaa saa mkono wa kulia, ila huyo asimlazimishe kutumia kulia mashoto ni gift kwa africa yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…