Kutumia simu mbili ktk simu moja

Kutumia simu mbili ktk simu moja

Isaac1

Member
Joined
Nov 12, 2018
Posts
79
Reaction score
70
Habari zenu naombeni kujua je ni aina gani ya redmi yenye uwezo wa kutumia kujigawa simu mbili kwenye simu moja ukiachilia redmi note 11?
 
Hiyo ni feature inaitwa second space inapatikana kwenye simu zote za Xiaomi zenye MIUI 8 hadi 13 (currently).

Zingatia comment number #5 ya jay-millions
 
Habari zenu naombeni kujua je ni aina gani ya redmi yenye uwezo wa kutumia kujigawa simu mbili kwenye simu moja ukiachilia redmi note 11?
Yani kama Windows kwenye laptop ambapo unaweza kuiseparate ikawa na user wawili au zaidi, kila moja mtu anaingia kwa password yake
 
Kivipi apooo kwene android za karibu.....mbona simu za android sijawai ona feature hio
Setting then system then multi user kama ipo off weka on, ni feature ya Android kuanzia marshmallow ama pie sikumbuki vizuri.

Na hata kama hamna kwenye simu yako zipo 3rd party apps kama hii

 
Setting then system then multi user kama ipo off weka on, ni feature ya Android kuanzia marshmallow ama pie sikumbuki vizuri.

Na hata kama hamna kwenye simu yako zipo 3rd party apps kama hii

Ila Chief-Mkwawa
Clone app na Second space (Multi user) mimi naona ni kama features mbili tofauti ingawa lengo ni kufanya kitu kimoja kiwe mara mbili.
 
Back
Top Bottom