alsaidy
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 334
- 89
Wakuu,
Nina mpango wa kuanzisha biashara ya M-Pesa na Tigo Pesa. Kutokana na ugumu wa kupata hizo till inakulazimu kutumia till zenye majina ya watu wengine.
Naomba kujua kama kuna risk yoyote inayoweza kutokea kwa baadae na je ukiwa na tatizo inakuwaje unapokwenda kuripoti?
Naomba wenye ujuzi na waliopitia mambo haya wanijuze kuhusu hili.
Natanguliza Shukrani.....
Nina mpango wa kuanzisha biashara ya M-Pesa na Tigo Pesa. Kutokana na ugumu wa kupata hizo till inakulazimu kutumia till zenye majina ya watu wengine.
Naomba kujua kama kuna risk yoyote inayoweza kutokea kwa baadae na je ukiwa na tatizo inakuwaje unapokwenda kuripoti?
Naomba wenye ujuzi na waliopitia mambo haya wanijuze kuhusu hili.
Natanguliza Shukrani.....