Kutumiwa meseji za maombi ya urafiki

Duh 🤣
 
Actually sikuwa naelewa kuwa wananitafuta kwa kazi gani ila nachodhani kuna mmoja nitamtafuna ili iwe fundisho kwa wengine[emoji3][emoji3][emoji3]
Hizo picha sio zao mwangangu. Wanaweka picha za pisi ili ushawishike kusave namba
 
Hao ni watu wa network marketing
 
Huwa nawachapa Block moja la kibabe, Case solved!
 
Iwapo uliwahi kuwa member na namba uligawa,basi umeanza kuvuna ulichopanda,sasa tena hofu ya nini
 
Last week alinijia dm, nika muuliza upo mkoa gan akasema Morogoro basi na mm nikajifanya nipo morl nikamwambia njoo hapa ofiso kwangu jengo la Nssf floor 2 njoo nikupe mchongo wa kazi ..kwan hata aliendelea kunichatisha ..mh si akala konaaa mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…