Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,472
Jamani, nimeandika kitabu changu, nataka kukisambasa mimi mwenyewe, naomba kujua ni kwa namna gani nitalipa kodi TRA, nikiwa na maana kwamba, nisijekusambaza nikapata pesa fulani ambazo hazijalipiewa kodi nikajaambiwa nimekwepa kodi baadaye, ndicho ninachoogopa. kwa wale waliokwisha andika vitabu wakaviuza naomba mwongozo tafadhali, chondechonde!
NB: HAPO NI KUTUNGA KITABU, SIO KUTUNZA....
NB: HAPO NI KUTUNGA KITABU, SIO KUTUNZA....