kazi ipo pengine wewe ni mmoja wa unaowatia wenzako majaribuni
usimjaribu mwenzio jamani ,mwisho wa siku mchungaji akikuomba ukampa umelaaniwa na kanisa zima ingawa itakuwa siri yenu
embu jitahdini basi kuvaa nguo za heshima hata kama mshazoea kuwavalia mabosi wenu ili waone q-point church nani anataka kuona hivyo jamani
wahurumieni hata jumapili hii basi
Umesahau na ile karatasi waliyoiweka nje iliyoandikwa "Watu wavae nguo za heshima" yale mabenchi ya mbele ilikuwa kuna haja kabisa ya kuweka ubao mkubwa maana padre akiiona kimini hata injili inaweza isishuke vizuriSt. Joseph Dsm wameongeza ubao kwenye mabenchi ya mbele kabisa ili kuzuia padre na watumishi wasione mamboz akina dada wanaokaa mabenchi hayo ya mbele.
Sasa kazi kwenye kifua maana nako.......
Sijui watafanyaje
Umesahau na ile karatasi waliyoiweka nje iliyoandikwa "Watu wavae nguo za heshima" yale mabenchi ya mbele ilikuwa kuna haja kabisa ya kuweka ubao mkubwa maana padre akiiona kimini hata injili inaweza isishuke vizuri
Hili tatizo limeishakuwa sugu...
Kwa mtaji huo wanaosali ni wachache, wengi wanaishia kushangaa maumbile ya waumini wenzao tu!
Mambo ya kizungu jamani, mmh lakini huwa tunaingia majaribuni kuna watoto wa mzee mmoja huwa wananipa mfadhaiko kweli, hadi nasahau kinachoendelea kwenye ibada....
yaani mapadre wangekua hawavai yale makanzu tungekua tunaona "reaction" ya wanachokiona.
Hata waumiuni hatusali kwa kweli
haya wanaume endeleeni kuchangia
mi siku hizi naona uvivu hata wa kwenda church. Maana nikitoka huko naona nimetenda dhambi ya kutamani wengi. Inabidi nianze kutubu nikiwa hom badala ya kanisani.
Basi ili kuepusha kutenda dhambi, hili ndio liwe vazi maalum la kuendea kanisani kila J'pili au J'mosi kwa wale ambao wanasali siku hiyo ili kuwaepusha Wanaume kutenda dhambi.