Kuua mtoto ili kufaidi mapenzi

Dou hivi katika hali yoyote mwanaume anaweza lalamika mapenzi yamehamia kwa mtoto kweli? mi nahisi wametofautiana kuna wababa wanawapenda watoto wao kuliko mpaka anaweza kuona kama unakosea kumlea mtoto.Huyu jamaa anatakiwa kupimwa akili, na huyo mama ananyonyesha bado anaselebuka tu! ndio maana watoto wengine wanakosa afya kabisa
 
Kakuruvi nilipokua nasoma roho imeniuma kweli nikajua the wife mwenyewe ndo kafariki... mawazo haya!!.. kukuta house boy.. nimeshindwa hata la kuandika... kwamba house boy alikua anatoka na huyo mama au???

Hivyo hivyo!
 

hii peleka kwenye vichekesho. imekaa vizuri.
 
Huyu hana tofauti na yule mtumishi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na teknolojia (jina nimenitoka kidogo maana mods waliipeperusha kabla hata sijachangia) ambaye kuna jamaa alimrusha hapa jamvini kuwa anakana mke na watoto ili kupata vimada. Unapoamua kuoa au kuolewa, baraka ambatanishi hi watoto, hivyo tuwe tayari kuzipokea kama ukijaliwa na kuachana na starehe. Kulea kazi na tukubali sote, baba na mama.
 

Kama watu wananyonya kule kusikoangalika sembuse hapo! Ila dah mshikaji noma, so akanunua hadi sanda ya mwanae.
 
Hawanaga vinyaa hawa wakikamia kitu chao wanafanyaga maajabu
 
Wewe ni jiniazzzzzzz aisee umeona jinsi habari ilivyojaa matundu
 
be serious bana,kule chumvini na maziwa yanayotoka mbn ni vitu viwili tofauti?
Kama watu wananyonya kule kusikoangalika sembuse hapo! Ila dah mshikaji noma, so akanunua hadi sanda ya mwanae.
 
This is a fictitious story and has been forwarded exhaustively in our emails, @least ungesema you r joking,.....coz its a joke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…