Kuuelewa mfumo wa Utawala wa Kifisadi - 101

Well said! Ondoa CCM madarakani and hopefully that will lead the way for other changes. I'm sick of them.

i agree, lets start with this. ccm ikishasambaratika tunaweza kupata mwanga huko mbele
 

Mwanakijiji

Umesema kweli. Hoja kama hii niliisikia kwa mara ya kwanza kwenye hotuba ya Freeman Mbowe akifungua mkutano mkuu wa CHADEMA. Unayo nakala yake uiweke hapa?

Lazima tubadili mfumo wa utawala!

serayamajimbo
 
Mwanakijiji umenena na nakubaliana kimsingi na nadharia yako. Hata hivyo vita havina macho na katika vita hususan vya umma kila silaha ndogo na nzito hutumika...na adui hachaguliwi pa kupigwa... mwenye uwezo wa kupiga kidole hufanya hivyo..na mwenye uwezo wa kulenga moyo pia hufanya hivyo, na wote wakiwa na lengo moja tu la kumwangamiza adui. Mafisadi na Mawakala wao lazima washughulikiwe sanjari na taratibu za kumaliza huo mfumo wa kifisadi ambao unahitaji muda na jitihada kubwa zaidi. Tukumbuke kuwa si watu wengi wanaofahamu kuwa kiini cha ufisadi nchini ni mfumo wa kisiasa, kiuchumi na kisheria uliopo, lakini wanawafahamu wanaonufaika na ufisadi.
 
siku tutakapokubali na kuelewa kuwa Ufisadi ni matokeo ya mfumo mbaya na si mtu mmoja mmoja au sura, siku hiyo itakuwa ni ya kwanza ya ushindi dhidi ya Ufisadi.
 
siku tutakapokubali na kuelewa kuwa Ufisadi ni matokeo ya mfumo mbaya na si mtu mmoja mmoja au sura, siku hiyo itakuwa ni ya kwanza ya ushindi dhidi ya Ufisadi.

Asante.

System haina checks and balances, inavuja kila sehemu na ndio maana ufisadi unawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…