Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwani hivyo ndivyo walivyosema watoa tuzo ?Kama mgeni wa heshma kukubali kuhudhuria ghafla inayohusu mambo ya soka.je'wewe ulitaka asipate?
Sio lazima waseme mambo mengine unajiongeza mwenyewe unapata jibu.Kwani hivyo ndivyo walivyosema watoa tuzo ?
Pia Ni mlezi wa Namungo.Kama mgeni wa heshma kukubali kuhudhuria ghafla inayohusu mambo ya soka.je'wewe ulitaka asipate?
Taraatibu chief jamaa ameuliza tu.Kama mgeni wa heshma kukubali kuhudhuria ghafla inayohusu mambo ya soka.je'wewe ulitaka asipate?