Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini wanasema usd ndio pesa yenye thamaniKwa sababu umeshasema kuuliza sio ujinga ngoja nikusaidie.
2,475 - 2,199 = 276
Maana yake ni kwamba ukilinganisha Euro na dola, yakupasa uwe na Tshs 276 zaidi ili uweze kununua Euro 1.
Kwa hiyo kupata Euro 1 ni ghali kidogo kuliko kupata Dola 1.
Euro ina thamani kuliko dola.
Swali sahihi ungetakiwa uulize hivi.Sasa kwanini wanasema usd ndio pesa yenye thamani
Usicho nisaidie hapa kwahiyo kuwekwa mbele kwa usd sio kuw inathamani zaidi ya nyingine kwanini hawakutumia currency tofauti na hiiSwali sahihi ungetakiwa uulize hivi.
Kwa nini kila pesa inakuwa referred to dollar ili kujua thamani/nguvu ya hiyo pesa.
Okay kujibu swala lako SIO kweli USD ndio yenye thamani kuliko pesa zote. Zipo pesa zenye thamani kuliko dollar. Mfano wake ni hiyo Euro...
MkuuUsicho nisaidie hapa kwahiyo kuwekwa mbele kwa usd sio kuw inathamani zaidi ya nyingine kwanini hawakutumia currency tofauti na hii
uthamani wa dola huamaanishi ipo juu ukilinganisha na pesa nyingine, ni ushindani ambao wamarekani wamefanikiwa kuifanya pesa yao kukubalika ulimwengu mzima, ndio kusema dola unaweza kuitumia popote duniani juu ya kuwa kuna pesa nyingi tu zina thamani kubwa kuliko dola lakin huwezi kuzitumia ktk baadhi ya maeneoHivi euro na usd ipi ina thamani kubwa maana
Euro 1 = 2475Tzs
Usd 1 = 2199 Tzs
Inamaana usd inathamani ndogo kuliko Euro au nimekosea/ sijaelewa