Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Katibu ni Thomas Kashilila na wenyeviti ni Jenista mhagama na Sylivester Mabumba
Naomba kujua full jina la katibu mkuu wa bunge na majina ya wenyeviti wawili
Mara nyingi anayeuliza anakua hajui kitu fulani kwa hiyo ni mjinga wa kitu hiko.Hitimisho kuuliza ni ujinga.
Una akili fupi, hapa duniani hakuna mtu anayejua kila kitu. Maana yake wanadam wote ni wajinga?
Watch out
Point yangu ilikua kuikosoa methali mkuu,kila mtu ni mjinga wa jambo fulani.Punguza jazba ungekua una akili ndefu ungenielewa,samahan kama nimekukwaza,my bad
Mara nyingi anayeuliza anakua hajui kitu fulani kwa hiyo ni mjinga wa kitu hiko.Hitimisho kuuliza ni ujinga.