Kuuliza sio ujinga!

Kuuliza sio ujinga!

Tripo9

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
4,357
Reaction score
3,550
Jamani mamboz!

Nauliza jamani: Hivi mtu na mpenzi wako mko kwenye maji, mfano swimming pool. Je kuna madhara yoyote mkamegana ndani ya maji. Hapa najaribu kuangalia upande wa mwanamke hasahasa na maumbile ya uke wake labda maji yanaweza kujipenyeza........
 
Hakuna madhara at least unaonyesha kumjali mwezako...very good
 
taabu kama maji siyo salama sana jambo ambalo nahakika kwa TZ siyo rahisi kupata maji salama kwenye S/pool wakati hata ya bomba si salama
 
Eeeee hii peleka jukwaa la wakubwa ndo kunakofaa halafu tutaanzia hapo kukujibu
 
Kajaribu tu mshkaji ila tahadhari na magonjwa.labda kama ni maji ya kilimanjaro
 
taabu kama maji siyo salama sana jambo ambalo nahakika kwa TZ siyo rahisi kupata maji salama kwenye S/pool wakati hata ya bomba si salama

I think u have exaggerated kidogo hapo, kwahiyo watu wanatumia maji gani wakienda ......
 
MH KAKA kuna madhara mwaya.at list u care.ur a gud boy!!!!!!!!
mfanyiane kwenye jakuz labda mtie na deto...........mapublic swmng mm mhh apana.........!!!!!!!!!watyaka maj ennH wajfanya chura???????
KM VP YATIE PILIPILI MAJI AFU MDUMBUKIE UMO MFANYE EXPERMNT VZR KM KUNA MAPBM O NT:target:
M WATNG for a nice report from t
 
MH KAKA kuna madhara mwaya.at list u care.ur a gud boy!!!!!!!!
mfanyiane kwenye jakuz labda mtie na deto...........mapublic swmng mm mhh apana.........!!!!!!!!!watyaka maj ennH wajfanya chura???????
KM VP YATIE PILIPILI MAJI AFU MDUMBUKIE UMO MFANYE EXPERMNT VZR KM KUNA MAPBM O NT:target:
M WATNG for a nice report from t

Mbona hujawaambia wahakikishe na ambulance iko jirani kabla hawaja xperiment?
 
MH KAKA kuna madhara mwaya.at list u care.ur a gud boy!!!!!!!!
mfanyiane kwenye jakuz labda mtie na deto...........mapublic swmng mm mhh apana.........!!!!!!!!!watyaka maj ennH wajfanya chura???????
KM VP YATIE PILIPILI MAJI AFU MDUMBUKIE UMO MFANYE EXPERMNT VZR KM KUNA MAPBM O NT:target:
M WATNG for a nice report from t


Lol da rose, wataka kutuua wewe! Ripot hiyo unayotaka haihitaji niende field (kufanya praktiko).
Sehemu zitawaka moto na fayaekstingwisha haitasaidia kitu.
N ways @ least umetoa ruksa kwenye jakuzi, thanx
 
Back
Top Bottom