Pombe za kienyeji hizo mkuu,hasa msabe,komoni,kiambule(chamoto),ulanzi.
Lazima mkojo uwe mweupe
ila kunywa bia sasa uone shughuli yake mkojo wa Brown kabisa.
Kinachotoka kwenye mkojo ni sumu sasa kama unakojoa mkojo mweupe manake sumu inabaki ndani ? Na mbona wanywaji wa pombe za kienyeji huwa wanazeeka mapema sana