Uliwahi kuwa subjected kwenye dusty environment,au upepo mwingi,cold,dry air ya a.c au milimani mkoani katika siku za hivi karibuni?au uliwahi kushout kwa nguvu kwa kipindi kirefu au kuimba high pitch katika namna usiyozoea?hizo ni dalili za toncilitis.je,huwa hujisikii koo kukauka na kukereketa usiku?nijibu kwanza ili nijue cha kukushauri.pia swali jingine,wewe ni mfanyaji mazoezi?