JE WAJUA KUUSU MAUNGIA YA MIFUPA/JOINTS KUUMA
Arthritis ni ugonjwa unaotokana na namna yo yote ya hitilafu katika maungio ya mifupa ya binadamu ambao husababisha maumivu na pengine kuvimba katika sehemu moja au zaidi ya maungio hayo. Neno arthritis halilengi ugonjwa mmoja bali jamii ya magonjwa ambayo kwa ujumla yapo zaidi ya 100. Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungo ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo moja.
KWA USHAURI ZAIDI TUWASILIANE KUPITIA 0718512775