Kuumbeee, hata magazeti ni mafisadi...!!


Shilingi 0 mpaka Shilingi 80,000 -Asilimia sifuri (HATA HILI KUNDI HULIPA KODI KUPITIA BIDHAA WANUNUAZO DUKANI NA KWINGINEKO ILI KUKIDHI MAHITAJI YAO YA KILA SIKU)
 

Si kweli kwamba voda ikifa sehemu nyingi zitakosa mawasiliano! Kumbuka celtel imeenea kila sehemu aliko voda huko vijijini hata kijijini kwenu. Watu watahamia celtel na mawasiliano yataendelea.
 

Yaani Wewe Unataka Kusema Sisi Masikini Hatulipi Kodi???????? Na Hiyo Paye Ni Nini??? Kumbe Vibwengo Wa Mabepari Mmefika Huko? Hujui Faida Ya Voda Kulipa Kodi?

Leo Nimeumia Sana Ndugu Yangu; 30% Ya Income Yangu Hadi Aloowance Ya Daladala Nakatwa "pay As You Earn" Na Voda Ina Maana Hawa-"earn"????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…