harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,887
- 1,351
i will give the angels back their wings and risk the lost of everthing
just to prove my love is true for u
just to have a sweethat like u
u told me once but i forgot,
so tell me now and tel me the trth
so i can say im here for u,
and if i die before u , i will go to heaven and wait for
Juzi demu wangu mmoja alikuja ghafla toka Mwanz huyu binti nilisha achaa naye toka miezi sita iliyopita akiwa na mimba ya miezi kama
mitatu ambayo ilikua ikionekana kabisa ila akiwa pande za huko nikawa naendelea kugharamiaka baadae akawa akija A town hataki kuonana nami
nilipochunguza nikajua alisha chomoa ndio maana hataki kuja .
sasa hivi majuzi amekuja A towna ghafla kanipigia cm na kudai alikuja siku tatu zilizopita cha kufurahisha nikamwita akaniambia anamuogesha mtoto ili aje naye nimuone nikamuambia asije anye kwani kuna baridi nitaenda mwenyewe kumuona .
Baada ya kuonana naye alinikuta nakata maji kama mamba sehemu moja ambapo wale wamiliki wanamjua fika kwamba ni demu wangu wa kitambo sasa nikamkaribisha baada tya kupata kinywaji nikataka niende naye gheto kwangu kwa ajili ya kupasha kiporo hicho,ila akaonesha kusita huwa kiprinsipo silazimishi mambo zaidi ya suala la fedha .
Hapo akasema ana shida na fweza kwa hiyo nikajua tu ni zile sanaa amezianza upya kabisa ....nikamwambia aende hapo alipofikia ambapo aliniambia ni kwa mama yake mdogo mwanzo hajawahi kunitambulisha mtu huyu na wala simjui .
kufika pale akajifanya anamchukua mtoto kutoka kwa mtu aliyemuachia kwa kushangaa akaja na mtoto wa miezi kuanzia mitano na nusu hivi mapaka sita na kitu mimi na yule jamaa yangu tukabaki tumeshikwa na butwaa kwamba mtoto yule alimpata wapi wakati tunashang'aa yule jamaa yangu akasema mbona mtoto hafanani na hata mmoja kati yenu mtoto ameketishwa kitandani hajui kinachoendelea hata kidogo.
Wakati tunashanga mara akaja mama mmoja akamchukua yule mtoto yule mama anafanana na yule mtoto na hata matiti yake yanaonekana kwamba ananyonyesha .
Nilichofanya ni kuinuka kuelekea mlangoni na kuvaa viatu vyangu yule binti akaanza kusema sasa umekuja kunichora au ?Mimi sikuongea chochote temna zaidi ya kumwambia jamaa yangu tuondoke ila nkawa nataka kumpa kipondo yule binti kwani alikua ananifanya mimi ni mjinga kiasi fulani sasa sijui nimfanyeje naomba maushauri yenu.............
NAWASILISHA
just to prove my love is true for u
just to have a sweethat like u
u told me once but i forgot,
so tell me now and tel me the trth
so i can say im here for u,
and if i die before u , i will go to heaven and wait for
Juzi demu wangu mmoja alikuja ghafla toka Mwanz huyu binti nilisha achaa naye toka miezi sita iliyopita akiwa na mimba ya miezi kama
mitatu ambayo ilikua ikionekana kabisa ila akiwa pande za huko nikawa naendelea kugharamiaka baadae akawa akija A town hataki kuonana nami
nilipochunguza nikajua alisha chomoa ndio maana hataki kuja .
sasa hivi majuzi amekuja A towna ghafla kanipigia cm na kudai alikuja siku tatu zilizopita cha kufurahisha nikamwita akaniambia anamuogesha mtoto ili aje naye nimuone nikamuambia asije anye kwani kuna baridi nitaenda mwenyewe kumuona .
Baada ya kuonana naye alinikuta nakata maji kama mamba sehemu moja ambapo wale wamiliki wanamjua fika kwamba ni demu wangu wa kitambo sasa nikamkaribisha baada tya kupata kinywaji nikataka niende naye gheto kwangu kwa ajili ya kupasha kiporo hicho,ila akaonesha kusita huwa kiprinsipo silazimishi mambo zaidi ya suala la fedha .
Hapo akasema ana shida na fweza kwa hiyo nikajua tu ni zile sanaa amezianza upya kabisa ....nikamwambia aende hapo alipofikia ambapo aliniambia ni kwa mama yake mdogo mwanzo hajawahi kunitambulisha mtu huyu na wala simjui .
kufika pale akajifanya anamchukua mtoto kutoka kwa mtu aliyemuachia kwa kushangaa akaja na mtoto wa miezi kuanzia mitano na nusu hivi mapaka sita na kitu mimi na yule jamaa yangu tukabaki tumeshikwa na butwaa kwamba mtoto yule alimpata wapi wakati tunashang'aa yule jamaa yangu akasema mbona mtoto hafanani na hata mmoja kati yenu mtoto ameketishwa kitandani hajui kinachoendelea hata kidogo.
Wakati tunashanga mara akaja mama mmoja akamchukua yule mtoto yule mama anafanana na yule mtoto na hata matiti yake yanaonekana kwamba ananyonyesha .
Nilichofanya ni kuinuka kuelekea mlangoni na kuvaa viatu vyangu yule binti akaanza kusema sasa umekuja kunichora au ?Mimi sikuongea chochote temna zaidi ya kumwambia jamaa yangu tuondoke ila nkawa nataka kumpa kipondo yule binti kwani alikua ananifanya mimi ni mjinga kiasi fulani sasa sijui nimfanyeje naomba maushauri yenu.............
NAWASILISHA