Kuumwa kichwa, Msaada kwa wataalam wa afya.

MrProsecutor

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
280
Reaction score
275
Habar za muda Great Thinkers, poleni na misukosuko ya hapa na pale.

Naomba kuuliza hili swali kwa wataalamu wa afya au yeyote anaejua. Hivi kichwa kinapouma ni vitu gani ndo huwa vinauma ndan ya kichwa. Mfano ukichomwa na mwiba ile sehem mwiba ulipochoma ndo inauma sas vip kwa kichwa, kuna sababu kam vile kupungukiwa maji lakini ni kipi ndo kinachoreact baada ya maji kupungua?

Nawasilisha wakuu. Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…